Nahitaji mume mwema jamani

Mpaka ss sijapata ujumbe wowote kutoka kwako kwani hata mm nahitaji mtu kama ww but nisingependa tuongelee hapa .
 



Pole kwa ndoto zako za ali na jaha. Kupata mume wa kiukweli hapa Afrika sijuwiiiiii? Mnaanza taratibu kwa mapenzi ya dhati, then ndani ya wiki mbili tu unageuzwa pazia. Bongo bwana, tunaendekeza sana nyumba ndogo. Mi nafikiri kwa kuwa wanaume wengi tunajuwa kuwa wake zetu ni jamvi la wageni hivyo kwa kuwa hatutaki kelele za kufuatiliana nasi tunajitahidi kuwa na nyumba ndogo lukuki huko nje na kususa wake zetu kisailenti. Mke akipiga kelele baba fulani mbona hunijali unasingizia kazi nyingi au kitu chochote tu cha kumtuliza mkeo asikusumbue. Haya ni baadhi tu ya maneno ninayosikia kwa watu nje.
 
Asante kwa mawazo yako
 
msihofu, mwenyezi Mungu alitulia wakati ananiumba
 
Huyu ni mshikaji tu anatafuta likes basi hakuna jingine, nashangaa hamjamsoma
 
Wote wanaowapiga hao wake zao mwanzo walikuwaga hawana mawazo hayo,,badae na mauzi2 yenu wanawake inabidi muanze kupgwa na kusalitiwa,unakuta mdada alikuwa msafi anajipenda akiolewa anakuwa mchafuuuu,,mvivuuuuuuuuuu afu ana majibuu mabovu ,,, inabidi apigwe,mume anapoteza sifa ya kuwa mume mwema,,zaidi take time,msome m2 usimkubali mapema alafu uwe sirious na ibada sio ile ya kutaka uonekane kwamba na wewe ni mke mwema
 
asante
 
outing na masuala mengine utajigharamia mwenyewe?na kama unataka bwana mwema next time uonde ukatangaze kanisani humu mwenyewe unawaona hata ID zao ni fake
 
outing na masuala mengine utajigharamia mwenyewe?na kama unataka bwana mwema next time uonde ukatangaze kanisani humu mwenyewe unawaona hata ID zao ni fake
samahani kama tangazo langu limekukwaza
 
mi napiga, lakin sipigi ovyo vip nitakufaa...

 
Just for the record, I am in my early twenties
And for the record, I said "almost", the last time I checked it never was synonymous to "all"
And you "could" be one of the few exceptions.
Goodluck PesaNdogo in your hunt.
 
Last edited by a moderator:
And for the record, I said "almost", the last time I checked it never was synonymous to "all"
And you "could" be one of the few exceptions.
Goodluck PesaNdogo in your hunt.
Thanx,point taken
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…