Jerhy
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 3,134
- 998
Yaani wewe ingekuwa mcha Mungu basi ungechaguliwa toka kanisani kwako unskosali sasa inaonyesha hata liturujia huijui, pia ungekuwa na maadili mema hiko mtaani unakoishi ungekuwa umeshajipatia mume mapema bt km umefika hapa JF fahamu hapa hamna ndoa ila utakuwa na wakati mgumu wa kupata hitaji lako. Ndoa sio lazima hata biblia imesema juu ya maishs ya useja na matowashi.