The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Soma comment yangu vizuri uielewe,sijakwambia kua huna kazi,Sina shida ya kazi nahitaji mume , kazi ninayo tens nzuri na yenye heshima
-
Mimi mchaga nishakosa mke hapaKama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu!
Ninaandika nikiwa na akili timamu na kujiamini kuwa mume au mke anapatikana popote panapokutanisha watu hata mitandaoni.
Niseme kweli kwasisi wanawake kutafuta mume mtandaoni ni rahisi zaidi maana wale tunaonana nao uso kwa uso ni vigumu kuwatongoza kutokana na tamaduni za kiafrika anaetongoza ni mwanaume pekee.
Kwahiyo najua wengine mtanikatisha tamaa lkn jibu langu ni moja hata hapa naweza pata mume , kama ni suala la utapeli upo kila mahali hata kanisani na misikini pia utapeli unaweza kuwepo.
....Baada ya angalizo hilo niende kwenye mada tajwa..
Sifa zangu.
Umri miaka 34
Elimu ya juu
Muajiriwa
Mkristo
Sina mtoto
Msukuma
Sifa za nimtafutaye
Umri miaka 30-45
Elimu yyte
Awe na shughuli yyte
Mkristo
Asiwe na mtoto zaid ya mmoja
Kabila lolote kasoro, mnyakyusa, mhaya, mzaramo, mha na mchaga.
Karibu, vigezo na mashart kuzingatiwa
-
mkuu, tunaweza kuongea mchongo ? njoo pm tafadhali nina shida fulani and am seriousUtaweza kuja kuishi huku kwenye mabarafu tupige box wote?
Karne ya 21 bado unawabagua watu kutokana na makabila yaoKama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu!
Ninaandika nikiwa na akili timamu na kujiamini kuwa mume au mke anapatikana popote panapokutanisha watu hata mitandaoni.
Niseme kweli kwasisi wanawake kutafuta mume mtandaoni ni rahisi zaidi maana wale tunaonana nao uso kwa uso ni vigumu kuwatongoza kutokana na tamaduni za kiafrika anaetongoza ni mwanaume pekee.
Kwahiyo najua wengine mtanikatisha tamaa lkn jibu langu ni moja hata hapa naweza pata mume , kama ni suala la utapeli upo kila mahali hata kanisani na misikini pia utapeli unaweza kuwepo.
....Baada ya angalizo hilo niende kwenye mada tajwa..
Sifa zangu.
Umri miaka 34
Elimu ya juu
Muajiriwa
Mkristo
Sina mtoto
Msukuma
Sifa za nimtafutaye
Umri miaka 30-45
Elimu yyte
Awe na shughuli yyte
Mkristo
Asiwe na mtoto zaid ya mmoja
Kabila lolote kasoro, mnyakyusa, mhaya, mzaramo, mha na mchaga.
Karibu, vigezo na mashart kuzingatiwa
-
Mkuu umetutenga kabisaaa hata sisi wakina mangiiii?Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu!
Ninaandika nikiwa na akili timamu na kujiamini kuwa mume au mke anapatikana popote panapokutanisha watu hata mitandaoni.
Niseme kweli kwasisi wanawake kutafuta mume mtandaoni ni rahisi zaidi maana wale tunaonana nao uso kwa uso ni vigumu kuwatongoza kutokana na tamaduni za kiafrika anaetongoza ni mwanaume pekee.
Kwahiyo najua wengine mtanikatisha tamaa lkn jibu langu ni moja hata hapa naweza pata mume , kama ni suala la utapeli upo kila mahali hata kanisani na misikini pia utapeli unaweza kuwepo.
....Baada ya angalizo hilo niende kwenye mada tajwa..
Sifa zangu.
Umri miaka 34
Elimu ya juu
Muajiriwa
Mkristo
Sina mtoto
Msukuma
Sifa za nimtafutaye
Umri miaka 30-45
Elimu yyte
Awe na shughuli yyte
Mkristo
Asiwe na mtoto zaid ya mmoja
Kabila lolote kasoro, mnyakyusa, mhaya, mzaramo, mha na mchaga.
Karibu, vigezo na mashart kuzingatiwa
-
Elimu ya juu ndo elimu gan sorry hapo sijakuelewaKama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu!
Ninaandika nikiwa na akili timamu na kujiamini kuwa mume au mke anapatikana popote panapokutanisha watu hata mitandaoni.
Niseme kweli kwasisi wanawake kutafuta mume mtandaoni ni rahisi zaidi maana wale tunaonana nao uso kwa uso ni vigumu kuwatongoza kutokana na tamaduni za kiafrika anaetongoza ni mwanaume pekee.
Kwahiyo najua wengine mtanikatisha tamaa lkn jibu langu ni moja hata hapa naweza pata mume , kama ni suala la utapeli upo kila mahali hata kanisani na misikini pia utapeli unaweza kuwepo.
....Baada ya angalizo hilo niende kwenye mada tajwa..
Sifa zangu.
Umri miaka 34
Elimu ya juu
Muajiriwa
Mkristo
Sina mtoto
Msukuma
Sifa za nimtafutaye
Umri miaka 30-45
Elimu yyte
Awe na shughuli yyte
Mkristo
Asiwe na mtoto zaid ya mmoja
Kabila lolote kasoro, mnyakyusa, mhaya, mzaramo, mha na mchaga.
Karibu, vigezo na mashart kuzingatiwa
-
Hamna mke hapa, huyu anaonekana ni kisirani na mwanamke mkorofi.Lkn siyo lazima huko tu hata hapa panafaa so uniingilie kwenye Uhuru wangu, usikute we mwenyewe ulipo hujaolewa
-
😊aliipata juu
kila la kheri mkuu0753899419