Nahitaji mume mwema!

Nahitaji mume mwema!

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu!

Ninaandika nikiwa na akili timamu na kujiamini kuwa mume au mke anapatikana popote panapokutanisha watu hata mitandaoni.

Niseme kweli kwasisi wanawake kutafuta mume mtandaoni ni rahisi zaidi maana wale tunaonana nao uso kwa uso ni vigumu kuwatongoza kutokana na tamaduni za kiafrika anaetongoza ni mwanaume pekee.

Kwahiyo najua wengine mtanikatisha tamaa lkn jibu langu ni moja hata hapa naweza pata mume , kama ni suala la utapeli upo kila mahali hata kanisani na misikini pia utapeli unaweza kuwepo.

....Baada ya angalizo hilo niende kwenye mada tajwa..

Sifa zangu.
Umri miaka 34
Elimu ya juu
Muajiriwa
Mkristo
Sina mtoto
Msukuma

Sifa za nimtafutaye
Umri miaka 30-45
Elimu yyte
Awe na shughuli yyte
Mkristo
Asiwe na mtoto zaid ya mmoja
Kabila lolote kasoro, mnyakyusa, mhaya, mzaramo, mha na mchaga.

Karibu, vigezo na mashart kuzingatiwa


-
Mimi mchaga nishakosa mke hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa umri huo mkuu no-mtoto,no-mume,kutakuwa na tatizo mahali?Kama una mwili mkubwa jaribu kuupunguza.
 
hivi wachaga na wahaya wana nini kwan mbon hawatakiwi s?i kwa female si kwa male... sasa hao mnataka waoane wenyewe?? [emoji22][emoji22][emoji22]

Sent usingJamii Forums mobile app
 
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu!

Ninaandika nikiwa na akili timamu na kujiamini kuwa mume au mke anapatikana popote panapokutanisha watu hata mitandaoni.

Niseme kweli kwasisi wanawake kutafuta mume mtandaoni ni rahisi zaidi maana wale tunaonana nao uso kwa uso ni vigumu kuwatongoza kutokana na tamaduni za kiafrika anaetongoza ni mwanaume pekee.

Kwahiyo najua wengine mtanikatisha tamaa lkn jibu langu ni moja hata hapa naweza pata mume , kama ni suala la utapeli upo kila mahali hata kanisani na misikini pia utapeli unaweza kuwepo.

....Baada ya angalizo hilo niende kwenye mada tajwa..

Sifa zangu.
Umri miaka 34
Elimu ya juu
Muajiriwa
Mkristo
Sina mtoto
Msukuma

Sifa za nimtafutaye
Umri miaka 30-45
Elimu yyte
Awe na shughuli yyte
Mkristo
Asiwe na mtoto zaid ya mmoja
Kabila lolote kasoro, mnyakyusa, mhaya, mzaramo, mha na mchaga.

Karibu, vigezo na mashart kuzingatiwa


-
Karne ya 21 bado unawabagua watu kutokana na makabila yao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu!

Ninaandika nikiwa na akili timamu na kujiamini kuwa mume au mke anapatikana popote panapokutanisha watu hata mitandaoni.

Niseme kweli kwasisi wanawake kutafuta mume mtandaoni ni rahisi zaidi maana wale tunaonana nao uso kwa uso ni vigumu kuwatongoza kutokana na tamaduni za kiafrika anaetongoza ni mwanaume pekee.

Kwahiyo najua wengine mtanikatisha tamaa lkn jibu langu ni moja hata hapa naweza pata mume , kama ni suala la utapeli upo kila mahali hata kanisani na misikini pia utapeli unaweza kuwepo.

....Baada ya angalizo hilo niende kwenye mada tajwa..

Sifa zangu.
Umri miaka 34
Elimu ya juu
Muajiriwa
Mkristo
Sina mtoto
Msukuma

Sifa za nimtafutaye
Umri miaka 30-45
Elimu yyte
Awe na shughuli yyte
Mkristo
Asiwe na mtoto zaid ya mmoja
Kabila lolote kasoro, mnyakyusa, mhaya, mzaramo, mha na mchaga.

Karibu, vigezo na mashart kuzingatiwa


-
Mkuu umetutenga kabisaaa hata sisi wakina mangiiii?
 
Njoo nikusilimishe nikuvalishe Hijabu kama utapenda
 
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu!

Ninaandika nikiwa na akili timamu na kujiamini kuwa mume au mke anapatikana popote panapokutanisha watu hata mitandaoni.

Niseme kweli kwasisi wanawake kutafuta mume mtandaoni ni rahisi zaidi maana wale tunaonana nao uso kwa uso ni vigumu kuwatongoza kutokana na tamaduni za kiafrika anaetongoza ni mwanaume pekee.

Kwahiyo najua wengine mtanikatisha tamaa lkn jibu langu ni moja hata hapa naweza pata mume , kama ni suala la utapeli upo kila mahali hata kanisani na misikini pia utapeli unaweza kuwepo.

....Baada ya angalizo hilo niende kwenye mada tajwa..

Sifa zangu.
Umri miaka 34
Elimu ya juu
Muajiriwa
Mkristo
Sina mtoto
Msukuma

Sifa za nimtafutaye
Umri miaka 30-45
Elimu yyte
Awe na shughuli yyte
Mkristo
Asiwe na mtoto zaid ya mmoja
Kabila lolote kasoro, mnyakyusa, mhaya, mzaramo, mha na mchaga.

Karibu, vigezo na mashart kuzingatiwa


-
Elimu ya juu ndo elimu gan sorry hapo sijakuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lkn siyo lazima huko tu hata hapa panafaa so uniingilie kwenye Uhuru wangu, usikute we mwenyewe ulipo hujaolewa

-
Hamna mke hapa, huyu anaonekana ni kisirani na mwanamke mkorofi.

Narudia kusema tena hamna mke hapa.

Na nimepata jibu kwanini hadi jua limezama(34) hujapata wakukufariji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom