Nahitaji mume mwema!

Nahitaji mume mwema!

malongwe

Member
Joined
Feb 9, 2019
Posts
22
Reaction score
19
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu!

Ninaandika nikiwa na akili timamu na kujiamini kuwa mume au mke anapatikana popote panapokutanisha watu hata mitandaoni.

Niseme kweli kwasisi wanawake kutafuta mume mtandaoni ni rahisi zaidi maana wale tunaonana nao uso kwa uso ni vigumu kuwatongoza kutokana na tamaduni za kiafrika anaetongoza ni mwanaume pekee.

Kwahiyo najua wengine mtanikatisha tamaa lkn jibu langu ni moja hata hapa naweza pata mume , kama ni suala la utapeli upo kila mahali hata kanisani na misikini pia utapeli unaweza kuwepo.

....Baada ya angalizo hilo niende kwenye mada tajwa..

Sifa zangu.
Umri miaka 34
Elimu ya juu
Muajiriwa
Mkristo
Sina mtoto
Msukuma

Sifa za nimtafutaye
Umri miaka 30-45
Elimu yyte
Awe na shughuli yyte
Mkristo
Asiwe na mtoto zaid ya mmoja
Kabila lolote kasoro, mnyakyusa, mhaya, mzaramo, mha na mchaga.

Karibu, vigezo na mashart kuzingatiwa


-
 
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu!

Ninaandika nikiwa na akili timamu na kujiamini kuwa mume au mke anapatikana popote panapokutanisha watu hata mitandaoni.

Niseme kweli kwasisi wanawake kutafuta mume mtandaoni ni rahisi zaidi maana wale tunaonana nao uso kwa uso ni vigumu kuwatongoza kutokana na tamaduni za kiafrika anaetongoza ni mwanaume pekee.

Kwahiyo najua wengine mtanikatisha tamaa lkn jibu langu ni moja hata hapa naweza pata mume , kama ni suala la utapeli upo kila mahali hata kanisani na misikini pia utapeli unaweza kuwepo.

....Baada ya angalizo hilo niende kwenye mada tajwa..

Sifa zangu.
Umri miaka 34
Elimu ya huu
Muajiriwa
Mkristo
Sina mtoto
Msukuma

Sifa za nimtafutaye
Umri miaka 30-45
Elimu yyte
Awe na shughuli yyte
Mkristo
Asiwe na mtoto zaid ya mmoja
Kabila lolote kasoro, mnyakyusa, mhaya, mzaramo, mha na mchanga.

Karibu, vigezo na mashart kuzingatiwa


-
Kwanini umetenga baadhi ya makabila

$ There's clear light at the end of the Tannel $
 
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu!

Ninaandika nikiwa na akili timamu na kujiamini kuwa mume au mke anapatikana popote panapokutanisha watu hata mitandaoni.

Niseme kweli kwasisi wanawake kutafuta mume mtandaoni ni rahisi zaidi maana wale tunaonana nao uso kwa uso ni vigumu kuwatongoza kutokana na tamaduni za kiafrika anaetongoza ni mwanaume pekee.

Kwahiyo najua wengine mtanikatisha tamaa lkn jibu langu ni moja hata hapa naweza pata mume , kama ni suala la utapeli upo kila mahali hata kanisani na misikini pia utapeli unaweza kuwepo.

....Baada ya angalizo hilo niende kwenye mada tajwa..

Sifa zangu.
Umri miaka 34
Elimu ya huu
Muajiriwa
Mkristo
Sina mtoto
Msukuma

Sifa za nimtafutaye
Umri miaka 30-45
Elimu yyte
Awe na shughuli yyte
Mkristo
Asiwe na mtoto zaid ya mmoja
Kabila lolote kasoro, mnyakyusa, mhaya, mzaramo, mha na mchanga.

Karibu, vigezo na mashart kuzingatiwa


-
Wachagga tunabaguliwa sana awamu hii ya tano hahaaaa

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Weka kitambulisho chako cha kupigia kura kwnz tuone japo kapicha
 
Back
Top Bottom