Takisha jolly
Member
- Feb 4, 2018
- 27
- 20
Habari zenu wanaume?
Mimi nina miaka 23, nipo DSM. Nafanya kazi katika kampuni moja ipo hapa hapa DSM. Kwa sasa nahitaji mwanaume wa kuishi nae sio wa kuspend nae.Mimi na mkristo, nita penda kama akiwa ni mwanasheria.
Kama unahisi tutafaana kindly ni PM.
Mimi nina miaka 23, nipo DSM. Nafanya kazi katika kampuni moja ipo hapa hapa DSM. Kwa sasa nahitaji mwanaume wa kuishi nae sio wa kuspend nae.Mimi na mkristo, nita penda kama akiwa ni mwanasheria.
Kama unahisi tutafaana kindly ni PM.