Nahitaji mume nipo serious, itapendeza kama akiwa ni mwanasheria

Nahitaji mume nipo serious, itapendeza kama akiwa ni mwanasheria

Daaaaaadeq 23 foolsh age bado hata huzajiona za kutosha acha kutia watu ukichaaaaa
Hawa watoto kuna mwana mmoja alikuwa analalamika hapa Jf.
Kaenda kazini karudi jioni kimwanamke kinaangalia tv hakijapika. Na vitu vimejaa kwenye friji
 
Habari zenu wanaume?Mimi Nina miaka 23,nipo DSM.Nafanya kazi katika kampuni moja IPO hapa hapa DSM.Kwa sasa nahitaji mwanaume wa kuishi nae sio wa kuspend nae.Mimi na mkristo,Nita penda Kama akiwa ni mwanasheria.Kama unahisi tuta faana kindly ni PM.
Unapenda Hawe Mwanasheria Kama Mimi Muhuza Genge Vip ?
 
Habari zenu wanaume?Mimi Nina miaka 23,nipo DSM.Nafanya kazi katika kampuni moja IPO hapa hapa DSM.Kwa sasa nahitaji mwanaume wa kuishi nae sio wa kuspend nae.Mimi na mkristo,Nita penda Kama akiwa ni mwanasheria.Kama unahisi tuta faana kindly ni PM.
Kwann awe mwanasheria?
 
Habari zenu wanaume?Mimi Nina miaka 23,nipo DSM.Nafanya kazi katika kampuni moja IPO hapa hapa DSM.Kwa sasa nahitaji mwanaume wa kuishi nae sio wa kuspend nae.Mimi na mkristo,Nita penda Kama akiwa ni mwanasheria.Kama unahisi tuta faana kindly ni PM.
Nenda pale kisutu mahakamani wanasheria utapata wa kujaza hiace
 
Kwahiyo sisi wafanya biashara hatuna nafasi kwako?
 
unaonekana mtu wa shari sn wewe! na unashinda sana police or mahakamani sn
 
Habari zenu wanaume?Mimi Nina miaka 23,nipo DSM.Nafanya kazi katika kampuni moja IPO hapa hapa DSM.Kwa sasa nahitaji mwanaume wa kuishi nae sio wa kuspend nae.Mimi na mkristo,Nita penda Kama akiwa ni mwanasheria.Kama unahisi tuta faana kindly ni PM.
Nipo hapa mkulima na mfugaji
 
Back
Top Bottom