Nahitaji mume nipo serious, itapendeza kama akiwa ni mwanasheria

Nahitaji mume nipo serious, itapendeza kama akiwa ni mwanasheria

Unashida ya mume halaf unachagua eti nataka mwanasheria subili mpaka Yesu arudi utampata
 
Duuuh bora ninywe zangu ulanzi nikalale manake sheria nayoijua ni ile ya baba mwenye nyumba kuhusu kulipa kodi na kudeki bafu na choo...Ila msubiri mheshimiwa lisu atapona na ataona hii thread yako..Atakusaidia
 
Pole dada yangu,ukiona hali kama hiyo,basi ujue ni hatari,bila shaka kuna mtu amekuumiza,hivyo unataka kumjibu kuwa unaweza kuolewa na mtu yeyote zaidi yake,uwe makini,akili za wanaume tunajua wenyewe,kama utakuwa cute,utaolewa kwa miezi 3, then jamaa anakutema,maana atakuoa kwa kukutamani,tuliza hisia,muombe Mungu atakujibu maombi yako
Naam, maneno kuntu kabisa, mume hatafutwi kama nyanya sokoni.
Muelekee mola wako muumba na muombe akupe mume mumeo.
 
Habari zenu wanaume?Mimi Nina miaka 23,nipo DSM.Nafanya kazi katika kampuni moja IPO hapa hapa DSM.Kwa sasa nahitaji mwanaume wa kuishi nae sio wa kuspend nae.Mimi na mkristo,Nita penda Kama akiwa ni mwanasheria.Kama unahisi tuta faana kindly ni PM.

Mm ni mwana businessman hapa Tandika-Mabatini!
Lkn natafuta mke
Kama vipi ni PM pls
 
Tatizo mim nimeshaoa sasa ila sifa zote ninazo
 
Upo DSM au upo serious mbona unatuchanganya
 
Habari zenu wanaume?Mimi Nina miaka 23,nipo DSM.Nafanya kazi katika kampuni moja IPO hapa hapa DSM.Kwa sasa nahitaji mwanaume wa kuishi nae sio wa kuspend nae.Mimi na mkristo,Nita penda Kama akiwa ni mwanasheria.Kama unahisi tuta faana kindly ni PM.
Hello Takisha!
Nakupongeza kwa hatua hii, siku hizi inafaa, ndio maendeleo yenyewe. Ila natoa angalizo kidogo tu kwako.. Mume mwema/bora kwako ni yule tu atokanaye na Mungu, na ni kwa njia ya sala tu waweza kuwasiliana na Mungu wako kumpelekea ombi hilo, Yeye anamjua mumeo alipo. Wenye ufahamu watasaidia juu ya "Namna gani utajua kuwa huyu ndiye Mungu aliyekupatia?" Nikipata jibu pia nitakupa. Ila usiweke kigezo chochote mbele Yake zaidi ya mume atakayeendana na wewe, Yeye alikujua hata kabla hujazaliwa! Anaweza kuwa mwanasheria lakini..., anaweza kuwa tajiri lakini..., anaweza kuwa hajasoma lakini..., anaweza kuwa masikini lakini.... Mkabidhi Mungu na usijali kuhusu muda. Kuna vilio vingi kwenye ndoa nyingi, jaribu kuvipunguza kwako kwa kumshirikisha Mungu.

Inna morata, Dailat
 
Hello Takisha!
Nakupongeza kwa hatua hii, siku hizi inafaa, ndio maendeleo yenyewe. Ila natoa angalizo kidogo tu kwako.. Mume mwema/bora kwako ni yule tu atokanaye na Mungu, na ni kwa njia ya sala tu waweza kuwasiliana na Mungu wako kumpelekea ombi hilo, Yeye anamjua mumeo alipo. Wenye ufahamu watasaidia juu ya "Namna gani utajua kuwa huyu ndiye Mungu aliyekupatia?" Nikipata jibu pia nitakupa. Ila usiweke kigezo chochote mbele Yake zaidi ya mume atakayeendana na wewe, Yeye alikujua hata kabla hujazaliwa! Anaweza kuwa mwanasheria lakini..., anaweza kuwa tajiri lakini..., anaweza kuwa hajasoma lakini..., anaweza kuwa masikini lakini.... Mkabidhi Mungu na usijali kuhusu muda. Kuna vilio vingi kwenye ndoa nyingi, jaribu kuvipunguza kwako kwa kumshirikisha Mungu
 
Hello Takisha!
Nakupongeza kwa hatua hii, siku hizi inafaa, ndio maendeleo yenyewe. Ila natoa angalizo kidogo tu kwako.. Mume mwema/bora kwako ni yule tu atokanaye na Mungu, na ni kwa njia ya sala tu waweza kuwasiliana na Mungu wako kumpelekea ombi hilo, Yeye anamjua mumeo alipo. Wenye ufahamu watasaidia juu ya "Namna gani utajua kuwa huyu ndiye Mungu aliyekupatia?" Nikipata jibu pia nitakupa. Ila usiweke kigezo chochote mbele Yake zaidi ya mume atakayeendana na wewe, Yeye alikujua hata kabla hujazaliwa! Anaweza kuwa mwanasheria lakini..., anaweza kuwa tajiri lakini..., anaweza kuwa hajasoma lakini..., anaweza kuwa masikini lakini.... Mkabidhi Mungu na usijali kuhusu muda. Kuna vilio vingi kwenye ndoa nyingi, jaribu kuvipunguza kwako kwa kumshirikisha Mungu.

Inna morata, Dailat
Nadhani amekuelewa akili yake imekaa ktk vigezo vya mne mtarajiwa wkt kuomba kwa Mungu amefeli.

Lazima akubali kuwa mme mwema anapatikana kwa Mungu, wala sio humu jf.
 
Back
Top Bottom