Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao watoto kila mmoja na mama yake uliwapata kwa njia ya rushwa ya ngono, baada ya kuletewa kesi na hao wanawake uende ukawatafutie haki zao, kwa mda tofauti tofauti karma is bitch...Mimi ni mwanasheria kama ulivyotaka, ninataka mke haswa. Ila nina watoto watatu kila mmoja na mama yake. Je utakuwa tayari?
Nipo Hapa Advoketi tayari kwa ndoa baby Takisha JollyHabari zenu wanaume?Mimi Nina miaka 23,nipo DSM.Nafanya kazi katika kampuni moja IPO hapa hapa DSM.Kwa sasa nahitaji mwanaume wa kuishi nae sio wa kuspend nae.Mimi na mkristo,Nita penda Kama akiwa ni mwanasheria.Kama unahisi tuta faana kindly ni PM.
Habari zenu wanaume?Mimi Nina miaka 23,nipo DSM.Nafanya kazi katika kampuni moja IPO hapa hapa DSM.Kwa sasa nahitaji mwanaume wa kuishi nae sio wa kuspend nae.Mimi na mkristo,Nita penda Kama akiwa ni mwanasheria.Kama unahisi tuta faana kindly ni PM.
Daaaaaadeq 23 foolsh age bado hata huzajiona za kutosha acha kutia watu ukichaaaaaHabari zenu wanaume?Mimi Nina miaka 23,nipo DSM.Nafanya kazi katika kampuni moja IPO hapa hapa DSM.Kwa sasa nahitaji mwanaume wa kuishi nae sio wa kuspend nae.Mimi na mkristo,Nita penda Kama akiwa ni mwanasheria.Kama unahisi tuta faana kindly ni PM.