Nahitaji mume nipo serious, itapendeza kama akiwa ni mwanasheria

Nahitaji mume nipo serious, itapendeza kama akiwa ni mwanasheria

Wadada mtaacha lini ujinga? Ndio maana mnachezewa na kuachwa. Kwenye ndoa Mungu ana maksudi yake. Omba upate mume mwema ili uifaidi ndoa sio kama unavyotaka wewe. Utaishia kwa house boy
 
Dada usiwe na wasiwasi board ya mkopo (heslb) hawatakupeleka mahakamani ata siku moja, be happy tafuta mume mwenye kazi yoyote tu akupendaye.
 
mimi ni mwanasheria ila sijaajiriwa, napiga dili tu hapa mjini, kama nakufaa pia niambie,..

Note: upstairs nipo vizuri
 
Nimekuja mbio kumchukua mke wangu kipenzi.
Nilipokutana na kigezo cha mwanasheria nimekanyaga break kwanza.

Ipo siku nitapata
 
Mimi ni mwanasheria kama ulivyotaka, ninataka mke haswa. Ila nina watoto watatu kila mmoja na mama yake. Je utakuwa tayari?
Hao watoto kila mmoja na mama yake uliwapata kwa njia ya rushwa ya ngono, baada ya kuletewa kesi na hao wanawake uende ukawatafutie haki zao, kwa mda tofauti tofauti karma is bitch...
 
Habari zenu wanaume?Mimi Nina miaka 23,nipo DSM.Nafanya kazi katika kampuni moja IPO hapa hapa DSM.Kwa sasa nahitaji mwanaume wa kuishi nae sio wa kuspend nae.Mimi na mkristo,Nita penda Kama akiwa ni mwanasheria.Kama unahisi tuta faana kindly ni PM.
Nipo Hapa Advoketi tayari kwa ndoa baby Takisha Jolly
 
Habari zenu wanaume?Mimi Nina miaka 23,nipo DSM.Nafanya kazi katika kampuni moja IPO hapa hapa DSM.Kwa sasa nahitaji mwanaume wa kuishi nae sio wa kuspend nae.Mimi na mkristo,Nita penda Kama akiwa ni mwanasheria.Kama unahisi tuta faana kindly ni PM.

Unapoipa muvi jina KaBla aijaanza Uwa unategemea nini?
 
Hii interview nimekosa sifa daaah.... Nifikilie basi
 
Habari zenu wanaume?Mimi Nina miaka 23,nipo DSM.Nafanya kazi katika kampuni moja IPO hapa hapa DSM.Kwa sasa nahitaji mwanaume wa kuishi nae sio wa kuspend nae.Mimi na mkristo,Nita penda Kama akiwa ni mwanasheria.Kama unahisi tuta faana kindly ni PM.
Daaaaaadeq 23 foolsh age bado hata huzajiona za kutosha acha kutia watu ukichaaaaa
 
Huyu anatafuta mume kwa udi na uvumba....hapohapo anachomea sharti. Subiri tu mama, watakuja. Wakichelewa sana fanya mpango ukavamie mkutano wa TLS na huko kuna chances kubwa za kumdaka Lawyer
 
unatafuta "mume" au "mwanaume wa kuishi nae"?

na kuhusu mwanasheria pitia pale ofisi a TLS kwa msaada zaidi.
 
Back
Top Bottom