Takisha jolly
Member
- Feb 4, 2018
- 27
- 20
.Kwa huyo mume unaetaka ingependeza sana ungekua unafanyia kazi mahakamani.
Unaonekana mbeya sana mtaani weye.Unataka mwanasheria awe anakutetea kwenye baraza la usuluhishi?Habari zenu wanaume?Mimi Nina miaka 23,nipo DSM.Nafanya kazi katika kampuni moja IPO hapa hapa DSM.Kwa sasa nahitaji mwanaume wa kuishi nae sio wa kuspend nae.Mimi na mkristo,Nita penda Kama akiwa ni mwanasheria.Kama unahisi tuta faana kindly ni PM.
OkSina sifa hizo japokuwa mimi pia nimuhitaji
OkWatakuja
Heeee!!!Mimi ni mwanasheria kama ulivyotaka, ninataka mke haswa. Ila nina watoto watatu kila mmoja na mama yake. Je utakuwa tayari?
Akikubali niletee kadi ya mchango wa "kubariki" ndoa.Sijavimbiwa pilau ya harusi siku nyingi sana.Mimi ni mwanasheria kama ulivyotaka, ninataka mke haswa. Ila nina watoto watatu kila mmoja na mama yake. Je utakuwa tayari?
Mimi nime kujibuNinavigezo japo hujafafanua zaidi nimeku pm tuyajenge
AsanteMimi nime kujibu
Japo uzi unaendelea kuchanja mbuga, sio vibaya tukakumbushana.Habari zenu wanaume?Mimi Nina miaka 23,nipo DSM.Nafanya kazi katika kampuni moja IPO hapa hapa DSM.Kwa sasa nahitaji mwanaume wa kuishi nae sio wa kuspend nae.Mimi na mkristo,Nita penda Kama akiwa ni mwanasheria.Kama unahisi tuta faana kindly ni PM.