Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Alafu nikuibie siri kwa sasa nipo nachonga nae hapa..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vigezo vya Mume anayetaka huna.
Poleeee
Injury time, dakika za majeruhiLamomy ww endelea kunizungusha wakati wenzako humu wanaanzisha uzi kutaka mwanaume tena wakiwa kwenye dakika za jioooooooooooon
Junior anasoma grade gani?Masingo mama wengi wanajua kujibrand ila kati ya wanawake walovurugwa kiakili ni hawa msije mkajichanganya.
Picha na diniJamani nipo serious natafuta mume nahitaji mwanaume ambaye yupo serious kwaajili ya ndoa na kujenga familia.
Awe na mapenzi ya dhati maana napenda kupendwa na kudeka.
Awe baba kwa watoto wake pia rafiki kwa mimi mke wake yaani napenda mume ambaye ni rafik yangu
Mimi ni single mom ila kiuchumi nipo vizuri nina maisha yangu.
Sina mahusiano na baba mtoto wangu kiufupi maisha yamenipiga viboko sana kwahiyo nilijifunza vingi
Mimi ni mama bora wa familia pia mchapakazi.
Mume ukiwa na mtoto mmoja au wawili itapendeza.
Mume uwe unafanya kazi au biashara.
Mume mimi ni single mom ila sina njaa pia maisha yamenifundisha haswa kwahiyo najua life ni nini na thamani ya mume ni nini.
Mbona mrembo wa dunia ππππ nafurahi kusikia u mzima. sumbaiMimi mzima saana.
Happy to see you mrembo WA duniaπ
π
Ila harmonize πJamani nipo serious natafuta mume nahitaji mwanaume ambaye yupo serious kwaajili ya ndoa na kujenga familia.
Awe na mapenzi ya dhati maana napenda kupendwa na kudeka.
Awe baba kwa watoto wake pia rafiki kwa mimi mke wake yaani napenda mume ambaye ni rafik yangu
Mimi ni single mom ila kiuchumi nipo vizuri nina maisha yangu.
Sina mahusiano na baba mtoto wangu kiufupi maisha yamenipiga viboko sana kwahiyo nilijifunza vingi
Mimi ni mama bora wa familia pia mchapakazi.
Mume ukiwa na mtoto mmoja au wawili itapendeza.
Mume uwe unafanya kazi au biashara.
Mume mimi ni single mom ila sina njaa pia maisha yamenifundisha haswa kwahiyo najua life ni nini na thamani ya mume ni nini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi unayooo!! PoleeeeAlafu nikuibie siri kwa sasa nipo nachonga nae hapa..
Shida ipo wapi sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wee kaa hvo hvo na vigezo vyako vya ajabu
Nishamaliza kazi mbonaππππππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi unayooo!! Poleeee
Kipenzi changu cha pekee hujamboJinamizi
Sikutaki nimeolewa na mume serious mwaya sio utaniKipenzi changu cha pekee hujambo
Duh! Hatari sana!Sikutaki nimeolewa na mume serious mwaya sio utani
Jamani nipo serious natafuta mume nahitaji mwanaume ambaye yupo serious kwaajili ya ndoa na kujenga familia.
Awe na mapenzi ya dhati maana napenda kupendwa na kudeka.
Awe baba kwa watoto wake pia rafiki kwa mimi mke wake yaani napenda mume ambaye ni rafik yangu
Mimi ni single mom ila kiuchumi nipo vizuri nina maisha yangu.
Sina mahusiano na baba mtoto wangu kiufupi maisha yamenipiga viboko sana kwahiyo nilijifunza vingi
Mimi ni mama bora wa familia pia mchapakazi.
Mume ukiwa na mtoto mmoja au wawili itapendeza.
Mume uwe unafanya kazi au biashara.
Mume mimi ni single mom ila sina njaa pia maisha yamenifundisha haswa kwahiyo najua life ni nini na thamani ya mume ni nini.n
Nipi-PM na Mimi ningiie kwenye kura za maoni...
Huwa wanahisi mapambano ni marahisi sana huku mihangaikoni naona ameanza kuona gap la mumewe sasa kwenye kubalance life equation-Umri
-Dini
-Mtazamo wako kuhusu ufeminia na 50/50.
Kule mtaani kwao kashindikana itakuwa so anatafuta strangersInakuaje watu wanakuja kutafuta wapenzi humu
Ngoma imefikia pale kwenye "mume yoyote chamsingi awe anapumua tu"Mimi ni single mom ila kiuchumi nipo vizuri nina maisha yangu.
Manzi yake ya kichaga haimtaki aspokuwa na dooHope urassa Kila siku unataka nikupeleke kwa babu kumbe we mwenyewe kuyakoroga. pesa ngapi zinakutosha manka
Nani kakwambia natafuta ndoa, nilishawahi kuja kwenu kumchumbia dada yako?Tafuta kwanza ajira.
Usiikimbilie ndoa
Alipoishia?πππππHapa ndio pamefanya niishie nilipoanzia single mother hamsahau Baba wa mtoto wake any time Jamaa anarudisha majeshi kuja kuendeleza alipoishia kuibonyeza HIO Mbunye, anaetaka kujilipua acha ajilipue tu
Midekoo uje mara moja