Nahitaji Mume

Mpaka sasa bado sijajua kwann watu humu kwenye kutafuta wenza wanaweka kipengele cha elimu ya MTU.
Kila la kheri
Mi nmeweka kwa sababu nahitaji mume aliyenizid elimu.... Ni moja ya vitu ninavyovipenda.... Msomi
 
Anae husika na tangazo hili atalielewa kama lilivyo
 
Miaka 27 bado unaweka checklist ndefu hivyo? ngoja nisubiri miaka mitatu ijayo ukileta tena tangazo hapa kama k=vigezo vitakuwa hivyo hivyo au vitapungua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…