Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]pole sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]pole sana
Naamin umetabasam sababu habar njema hufanya lips za midomo zikimbiane !![emoji3] [emoji3]
Hiki kigezo cha degree ..master.. Mara Dr unadhani ndiyo kigezo cha mume bora?......wewe mwenyewe mbona elimu yako hujaweka hapo!???
Mpaka sasa bado sijajua kwann watu humu kwenye kutafuta wenza wanaweka kipengele cha elimu ya MTU.
Kila la kheri
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Hahahha eti degree, masters, and Dr sawa madam unataka kuingea kiingreza ndani siyo
Ndio nilifeli ndio maana nahitaji aliyefauluWewe mwenyewe ulifeli, ukakimbilia ualimu, afu unataka mwenye phd na prof.
Watu wa CCM naona siku hizi mnajichanganya maeneo mbalimbali au mnajisahau kuswitch?Aisee majibu yangu yameshapata maombi...
....Unavaa Brah size gani...??
Pole na wwpole sana
Naomba tucompromise kwenye umri nina 23 ila nina degree na nimejiajiri.Ndio nilifeli ndio maana nahitaji aliyefaulu
Ndio maana yakeHahahha eti degree, masters, and Dr sawa madam unataka kuingea kiingreza ndani siyo
Mi nmeweka kwa sababu nahitaji mume aliyenizid elimu.... Ni moja ya vitu ninavyovipenda.... MsomiMpaka sasa bado sijajua kwann watu humu kwenye kutafuta wenza wanaweka kipengele cha elimu ya MTU.
Kila la kheri
Anae husika na tangazo hili atalielewa kama lilivyoMiaka ya wadada wa aina hii ni wasumbufu sana tena bora ungesema mchagaa wa wapi ila kuishia mchaga mhhh kazi ipo pia hujasema elimu yako ila unahitaji mwenye degree, kingine hujasema unafanya nini ila unayemtaka unataka alijiajiri au ameajiriwa, , Pia unahitaji mwenye upendo , Mkweli na mwaminifu wewe hujajieleza kama hivyo unavyo.. Kikubwa tengeneza tangazo lako upya
Kwangu ni moja ya vigezo vya mume boraHiki kigezo cha degree ..master.. Mara Dr unadhani ndiyo kigezo cha mume bora?......wewe mwenyewe mbona elimu yako hujaweka hapo!???
itakuwa ana vaa size 45Unavaa Brah size gani...??
Hata ikifika 50 vigezo vyangu n hivyo hvyoMiaka 27 bado unaweka checklist ndefu hivyo? ngoja nisubiri miaka mitatu ijayo ukileta tena tangazo hapa kama k=vigezo vitakuwa hivyo hivyo au vitapungua
Teh teh isaya 4:1Ndio maana yake