Wakati wewe sio mkweli na muaminifu mume unatemtaka unakmtaka awe mkweli na muaminifu..! Rejea sifa zaki mwenyewe. .[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]SIFA ZANGU
- miaka 27
-mkristo
-mchaga
-mwalimu
-sina mtoto
-mweusi
-mwembamba
-mrefu
SIFA ZAKE
-anahitaji mke
-mwenye upendo wa dhati
- mkristo
-muajiriwa/amejiajiri
-degree, masters, dr
-umri 30-39
-mrefu
-rangi yoyote
-mkweli
-muaminifu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2]Aisee..hapa tuliokimbia umande tupige puli tu
naona we ni mchungaji mi muislam wangunjoo pm mama tupo wazee wenzako
naona we ni mchungaji mi muislam wangunjoo pm mama tupo wazee wenzako
mhhhh na dini pia vigezo. na ww miaka 40 unaweka vigezo ngoja nitafute warokolenaona we ni mchungaji mi muislam wangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji123][emoji123]Ndio nilifeli ndio maana nahitaji aliyefaulu
Kasema mwalimuMiaka ya wadada wa aina hii ni wasumbufu sana tena bora ungesema mchagaa wa wapi ila kuishia mchaga mhhh kazi ipo pia hujasema elimu yako ila unahitaji mwenye degree, kingine hujasema unafanya nini ila unayemtaka unataka alijiajiri au ameajiriwa, , Pia unahitaji mwenye upendo , Mkweli na mwaminifu wewe hujajieleza kama hivyo unavyo.. Kikubwa tengeneza tangazo lako upya
Wakati wewe sio mkweli na muaminifu mume unatemtaka unakmtaka awe mkweli na muaminifu..! Rejea sifa zaki mwenyewe. .[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nina sifa zote Plus Ngawila za kutosha, isipokuwa sijasoma na naabudu mizimu.SIFA ZANGU
- miaka 27
-mkristo
-mchaga
-mwalimu
-sina mtoto
-mweusi
-mwembamba
-mrefu
SIFA ZAKE
-anahitaji mke
-mwenye upendo wa dhati
- mkristo
-muajiriwa/amejiajiri
-degree, masters, dr
-umri 30-39
-mrefu
-rangi yoyote
-mkweli
-muaminifu
Ndio maana yake
Mi nmeweka kwa sababu nahitaji mume aliyenizid elimu.... Ni moja ya vitu ninavyovipenda.... Msomi
Anae husika na tangazo hili atalielewa kama lilivyo
Kwangu ni moja ya vigezo vya mume bora
Kwa majibu haya utachunda,ndio maana huko mtaani umewakosa sababu ya kimdomoHata ikifika 50 vigezo vyangu n hivyo hvyo
Ulitaka nikae kimya ili.....Kwa majibu haya utachunda,ndio maana huko mtaani umewakosa sababu ya kimdomo