Nahitaji Mume

Nahitaji Mume

SIFA ZANGU
- miaka 27
-mkristo
-mchaga
-mwalimu
-sina mtoto
-mweusi
-mwembamba
-mrefu

SIFA ZAKE
-anahitaji mke
-mwenye upendo wa dhati
- mkristo
-muajiriwa/amejiajiri
-degree, masters, dr
-umri 30-39
-mrefu
-rangi yoyote
-mkweli
-muaminifu
Wakati wewe sio mkweli na muaminifu mume unatemtaka unakmtaka awe mkweli na muaminifu..! Rejea sifa zaki mwenyewe. .[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kigezo pekee alichonacho yeye ni kutokuwa na mtoto.
Ila upande wa wenzie kaweka mashart kibao
 
Miaka ya wadada wa aina hii ni wasumbufu sana tena bora ungesema mchagaa wa wapi ila kuishia mchaga mhhh kazi ipo pia hujasema elimu yako ila unahitaji mwenye degree, kingine hujasema unafanya nini ila unayemtaka unataka alijiajiri au ameajiriwa, , Pia unahitaji mwenye upendo , Mkweli na mwaminifu wewe hujajieleza kama hivyo unavyo.. Kikubwa tengeneza tangazo lako upya
Kasema mwalimu
Wakati wewe sio mkweli na muaminifu mume unatemtaka unakmtaka awe mkweli na muaminifu..! Rejea sifa zaki mwenyewe. .[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
SIFA ZANGU
- miaka 27
-mkristo
-mchaga
-mwalimu
-sina mtoto
-mweusi
-mwembamba
-mrefu

SIFA ZAKE
-anahitaji mke
-mwenye upendo wa dhati
- mkristo
-muajiriwa/amejiajiri
-degree, masters, dr
-umri 30-39
-mrefu
-rangi yoyote
-mkweli
-muaminifu
Mimi nina sifa zote Plus Ngawila za kutosha, isipokuwa sijasoma na naabudu mizimu.
Naomba nafasi
 
Ndio maana yake
Mi nmeweka kwa sababu nahitaji mume aliyenizid elimu.... Ni moja ya vitu ninavyovipenda.... Msomi
Anae husika na tangazo hili atalielewa kama lilivyo
Kwangu ni moja ya vigezo vya mume bora
Hata ikifika 50 vigezo vyangu n hivyo hvyo
Kwa majibu haya utachunda,ndio maana huko mtaani umewakosa sababu ya kimdomo
 
Back
Top Bottom