katib mkoa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,574
- 2,161
Sipati picha wanafunzi wako unaowafundisha kiswahili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anataka degree sijui anai apply wapUkiitaji darasa la saba uniambie
Ndio maana nikaweka kigezo cha elimu sidhan kama mtu msomi anaweza kujadili kuhusu kabila la mtu maana .... Pia sio lazma ukoment kama unaona ujaridhia
Ili Mwezi wa 12 akawaringishie wenzie huko ushirombo kirumo moshiHahahha eti degree, masters, and Dr sawa madam unataka kuingea kiingreza ndani siyo
Yameshawapata na mifano ipo.huwa watu wanapata changamoto wanaposema wao ni wachaga sijui kwanini kuna perception flan kuhusu hili kabila wakati sio wote na hawana tabia zilizo fanana, na hao wanao comment kuhusu kabila utakuta ni watu wa pwani.
[emoji28] [emoji28] likoje mkuuhilo kabila [emoji125]
Hivi hapa nimeandika nahitaji harusi???? au nahitaji Mume!!!Hapa kwa mchaga utaambiwa anataka harusi kubwa kama ile ya kimataifa huku akiwa hajui kwamba iyo ni waist of resources badala yake mnaweza mkaanzisha duka ambayo itawasaidia, ila kama ndoa mnaenda tu kuwekewa mikono kwa wachungaji inatosha, utaambiwa ifanyike sherehe kubwa ya kumuaga, mahari ndio usiseme na hivi ni mwalimu doh balaaa zitafika mil 4. kazeni buti vijana sisi tumesha kata tamaa ya kuoa maisha tunaona kawaida tu tuko buzy na kutafuta hela basi si vinginevyo.
Mimi namshukuru mungu mke wangu nilioa kwa elfu 80000, elfu 10000 ya kikao 70000 mahali yake aloitaja mwenyewe mke wangu, baada ya wiki nikafungishwa ndoa yangu usiku msikitini baada ya swala ya saa mbili Morogoro!..mke wangu alikataa kila aina ya mbwembwe alikataa kata kata....kwa Sasa Yuko Nyumbani kwake na maisha yake mashaalah mwaka wa kumi....ananimwagia watoto tu [emoji23] walokuwa wanamcheka kwa sasa wanatafuta hata wakuwatia mimba tu wawatunze ndani hakuna....Hapa kwa mchaga utaambiwa anataka harusi kubwa kama ile ya kimataifa huku akiwa hajui kwamba iyo ni waist of resources badala yake mnaweza mkaanzisha duka ambayo itawasaidia, ila kama ndoa mnaenda tu kuwekewa mikono kwa wachungaji inatosha, utaambiwa ifanyike sherehe kubwa ya kumuaga, mahari ndio usiseme na hivi ni mwalimu doh balaaa zitafika mil 4. kazeni buti vijana sisi tumesha kata tamaa ya kuoa maisha tunaona kawaida tu tuko buzy na kutafuta hela basi si vinginevyo.
Wachaga mhhh[emoji13] [emoji13]Tatizo hilo kabila tu...mengine uko poa
[emoji2] [emoji2]Nina kigezo as am Prof.. tatizo wanawake wa kichaga hawana chura kbsaa...
vp umeisha pata mume au badoUlitaka nikae kimya ili.....