Nahitaji Mume

Open_Minded

Member
Joined
Jun 6, 2020
Posts
8
Reaction score
22
Habari Wana Jf,

Mimi ni mwanamke wa miaka 32. Najitokeza kutafuta mwanaume matured kuanza naye mahusiano kuelekea ndoa. Nina amini mahusiano huanzia popote.

Awe

-Mkristo na awe na hofu ya Mungu.

- Mwenye Nia ya dhati na utayari wa mahusiano
-Umri kuanzia 32 -45 yrs

-Awe na shughuli halali ya kuingiza kipato elimu angalau degree moja.

-Muwazi na mkweli

Kwa upande Wangu
-Mimi ni mkristo

-Nina mtoto mmoja

-Nina shughuli ya kuniingizia kipato na elimu yangu ni degree moja

-Muwazi na mkweli

Aliye na Nia karibu PM .

Asante!
 
kila mwanachama zingatia kanuni zifuatazo uwapo jf

kanuni ya 1 : usiri
kanuni ya 2: usiri
kanuni ya 3: usiri
kanuni ya 4: usimwamini kila mtu
kanuni ya 5: usiamini kila taarifa
kanuni ya 6: kuwa makini
kanuni ya 7: miliki lD zaidi ya 1

kila la heri mleta mada
mungu akutimizie hitaji lako
 
Mtoto ni agizo la Mungu labda unambie ni kifungu gani kinasema kuzaa ni dhambi
Mkuu uko sahihi, sijasema kuzaa ni dhambi, dhambi ni kuzini na ndio maana nimeuliza kama kaolewa, pia sina lengo la kumjaji kwa sababu huwezi jua mtu anabeba mimba kwenye mazingira yapi, by the way lilikuwa ni swali fikirishi tu labda sikulileta mahala sahihi. Cheers.
 
Dini yako ina neno linaloitwa "TOBA"?
 
Kuzaa siyo dhambi ila sababisho la kuzaa linaweza kuwa ni dhambi. Kuzaa ni matokeo ya kufanya tendo la ndoa..inakuwa dhambi pale watu wasio nandoa kufanya tendo la ndoa. Bila shaka umenielewa.
mkuu mwanao anaitwa nani?
 
Kuzaa siyo dhambi ila sababisho la kuzaa linaweza kuwa ni dhambi. Kuzaa ni matokeo ya kufanya tendo la ndoa..inakuwa dhambi pale watu wasio nandoa kufanya tendo la ndoa. Bila shaka umenielewa.
Wapi ktk biblia Mungu mwenyewe anasema ili binadamu azae lazima awe kwenye ndoa au ni binadamu tu ja taratibu zao walizojiwekea
Alipo maliza kuumba alitoa tu tamko zaeni mkaongezeke na sio pitieni makanisani au misikitini mkabarikiwe ndoa zenu ndipo mzae na kuijaza dunia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…