Open_Minded
Member
- Jun 6, 2020
- 8
- 22
Habari Wana Jf,
Mimi ni mwanamke wa miaka 32. Najitokeza kutafuta mwanaume matured kuanza naye mahusiano kuelekea ndoa. Nina amini mahusiano huanzia popote.
Awe
-Mkristo na awe na hofu ya Mungu.
- Mwenye Nia ya dhati na utayari wa mahusiano
-Umri kuanzia 32 -45 yrs
-Awe na shughuli halali ya kuingiza kipato elimu angalau degree moja.
-Muwazi na mkweli
Kwa upande Wangu
-Mimi ni mkristo
-Nina mtoto mmoja
-Nina shughuli ya kuniingizia kipato na elimu yangu ni degree moja
-Muwazi na mkweli
Aliye na Nia karibu PM .
Asante!
Mimi ni mwanamke wa miaka 32. Najitokeza kutafuta mwanaume matured kuanza naye mahusiano kuelekea ndoa. Nina amini mahusiano huanzia popote.
Awe
-Mkristo na awe na hofu ya Mungu.
- Mwenye Nia ya dhati na utayari wa mahusiano
-Umri kuanzia 32 -45 yrs
-Awe na shughuli halali ya kuingiza kipato elimu angalau degree moja.
-Muwazi na mkweli
Kwa upande Wangu
-Mimi ni mkristo
-Nina mtoto mmoja
-Nina shughuli ya kuniingizia kipato na elimu yangu ni degree moja
-Muwazi na mkweli
Aliye na Nia karibu PM .
Asante!