Kuzaa nje ya ndoa ni dhambi. Au hujui maana ya kuzini?Mtoto ni agizo la Mungu labda unambie ni kifungu gani kinasema kuzaa ni dhambi
Imeandikwa wapiKuzaa nje ya ndoa ni dhambi. Au hujui maana ya kuzini?
Amri ya Mungu. Fungua Biblia kisha soma Kutoka 20:14. Tatizo namuelekeza mpagani asiyejua maandiko!!!Imeandikwa wapi
Pameandikwa usizini hilo nakubali mimi swali langu ni kuzaa nje ya ndoaAmri ya Mungu. Fungua Biblia kisha soma Kutoka 20:14. Tatizo namuelekeza mpagani asiyejua maandiko!!!
Halafu unambie palipoandikwa usizae nje ya ndoa.Amri ya Mungu. Fungua Biblia kisha soma Kutoka 20:14. Tatizo namuelekeza mpagani asiyejua maandiko!!!
Mwanaume aliyekuzalisha KWANINI HAKUKUOA?Habari Wana Jf,
Mimi ni mwanamke wa miaka 32. Najitokeza kutafuta mwanaume matured kuanza naye mahusiano kuelekea ndoa. Nina amini mahusiano huanzia popote.
Awe
-Mkristo na awe na hofu ya Mungu.
- Mwenye Nia ya dhati na utayari wa mahusiano
-Umri kuanzia 32 -45 yrs
-Awe na shughuli halali ya kuingiza kipato elimu angalau degree moja.
-Muwazi na mkweli
Kwa upande Wangu
-Mimi ni mkristo
-Nina mtoto mmoja
-Nina shughuli ya kuniingizia kipato na elimu yangu ni degree moja
-Muwazi na mkweli
Aliye na Nia karibu PM .
Asante!
Hiyo digrii unatoa ajira?Ungekua muwazi digrii zipo nyingi tu kama vile digrii za uzushi,majungu na fitna
Hapana bado sijampataKapata itakuwa
Sasa kama hujapata, mbona ullikuwa hijibu pm za wadau??Hapana bado sijampata