Nahitaji mume

Kumbe mkiombwa hela nyie huwa mnamaindi enhee
 
Kwa bahati mbaya pia wanawake hawawezi jua alieko serious na asiye serious kati ya wanaomfuata

Huko pm ni wapi weka namba au njoo wewe inbox nkupe sifa zangu kama unazo tuanze mamiloo
 
Hilo jina itasababisha uendelee kua single mother jina linatisha taswira inayokuja ni kama vile Dume flani! [emoji16][emoji16]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787], Usiku wa Manane nimecheka nikiwa Peke angu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…