APEFACE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 5,316
- 9,596
Tupo mkuu, sema tu mitandaoni hatuaminianiHumu hakuna waume dear
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo mkuu, sema tu mitandaoni hatuaminianiHumu hakuna waume dear
Wanaume wa humu wengi wameoa.... wakija humu wanajifanya singleTupo mkuu, sema tu mitandaoni hatuaminiani
Mbona mimi sijaoa jaman.Wanaume wa humu wengi wameoa.... wakija humu wanajifanya single
Tuma picha tutajua umeoa au laahMbona mimi sijaoa jaman.
Zingatia huu ushauri wa Demi. Kuna siku utakuja kumshukuru kwa huu ushauri wake.Tafuta rafiki then msomane mbele ya safari. Sasa wewe unatafutaje mume na watu hawakujui?
Unarukage stage?
1. Kufahamiana/urafiki
2. Mchumba
3. Mume
Jichanganye humu utapata marafiki kibao. Usiforce
SijaelewaDemi aliyekupa huu ushauri siku moja.
Kama uko serious njoo pm tuyajengeNiliandika uzi wangu wiki mbili zilizopita kwamba natafuta mume wa kujenga maisha haya mafupi yaliyobakia duniani, wakaja watu wengi PM lakini hakuna hata mmoja aliyekuwa serious. Wengi wamekuja kunijaribu tu basi, aliyeserious ndiyo namuhitaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tamaa zimetujaa! Kila sketi ikikatiza mtaa wetu huu wa JF tunaifukuzia!!Wanaume wa humu wengi wameoa.... wakija humu wanajifanya single
Kipenzi humu hamna waume wa kuwoa [emoji23][emoji23]
Wamejaa walamba asali
Ni mwendo wa kulambana tu
Una mambo ya kitoto sana we goroko77Alfu wee Ni new member yaani unakuja tu tayri na kutafuta mume mban una Hali ya utapeli
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
sio woteWanaume wa humu wengi wameoa.... wakija humu wanajifanya single
Humu hamnaga mpenzi serious .Niliandika uzi wangu wiki mbili zilizopita kwamba natafuta mume wa kujenga maisha haya mafupi yaliyobakia duniani, wakaja watu wengi PM lakini hakuna hata mmoja aliyekuwa serious. Wengi wamekuja kunijaribu tu basi, aliyeserious ndiyo namuhitaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeshauri vizuri ila umekosea kutoa tathimini ya jumla.Humu hamnaga mpenzi serious .
Wala humu kuna majambazi na wenye roho mbaya na waziba riziki mwanadada oga vizuri nenda pubs za heshima utapata mwanaume mzuri umtakaje hapa utasaga gagaa mwisho wa siku watakudhihaki wakuite malaya kumbe ni wamechoka kuishi kwa tabia zao ni ngumu kudate now just imagine mtu anakuja inbox anasema mamboo naomba mawasiliano yako anakuambia nitumie picha yako piga hivi au vila kumbe limtu lina nyege zake wala halina mpango jingine nipe 30k ndio nijue unanipenda mimi ndio nitakuhudumia hadi ndoa naukikataa kunipa hiyo 30k achana na mimi ni block sasa hiyo ndio nini mtu unuwa karibia kufa naomba msaada eti wapendanao usinizoee kabisa unataka kunichuna anakublock .
Hii ndio nini??
Ujinga huu maisha ya sasa nikuonekana unamjali mtu wataka wenyewe na ndio maana ni single wajinga hawa mie nimesha pewa ushauri na mtu ndio maana napeta saivi humu nikuchart na kuwatukana kule mtaani nikuchuja kililiii wako
Hao waliokuja pm najua mzabzab hakosiNiliandika uzi wangu wiki mbili zilizopita kwamba natafuta mume wa kujenga maisha haya mafupi yaliyobakia duniani, wakaja watu wengi PM lakini hakuna hata mmoja aliyekuwa serious. Wengi wamekuja kunijaribu tu basi, aliyeserious ndiyo namuhitaji.
Sent using Jamii Forums mobile app