jnrs
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 504
- 236
Tupo Sana na tumejaa Tele. Issue ni mtoto wa mwanamume tusiemjua na kuwa na taarifa zake.Humu hakuna waume dear
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo Sana na tumejaa Tele. Issue ni mtoto wa mwanamume tusiemjua na kuwa na taarifa zake.Humu hakuna waume dear
Mie nimeoa lakini sio kiviiiiiiile[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanaume wa humu wengi wameoa.... wakija humu wanajifanya single
Mkuu I'd Yako,, seems wewe ni wa kwetuAchana na watoto hao njoo kwangu mstaafu tumalizie maisha yetu kwa pamoja.
Tayari[emoji1787]Sweetheart hakuna kitu huku..
Ikikupendeza njoo PM uniambie kwenu ni wapi?Mkuu I'd Yako,, seems wewe ni wa kwetu
Unaona thathaMie nimeoa lakini sio kiviiiiiiile[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha mambo Yako mfuate pm kama hiko serious mengine kuomba MunguTupo Sana na tumejaa Tele. Issue ni mtoto wa mwanamume tusiemjua na kuwa na taarifa zake.
Tuliaaa wewwSweetheart hakuna kitu huku..
Mambo yasiwe mengi mkuu Mimi wa moroIkikupendeza njoo PM uniambie kwenu ni wapi?
hahhahahhahaMnanisingizia tuu mie wala sijaenda pm kwa muhusika. Mie sina sifa za kuwa mume wa mwanamke wà jf....maana wanawake wa jf hawataki boda boda
Ulitumia kipimo gani kwa aliye serious na asiye serious?Niliandika uzi wangu wiki mbili zilizopita kwamba natafuta mume wa kujenga maisha haya mafupi yaliyobakia duniani, wakaja watu wengi PM lakini hakuna hata mmoja aliyekuwa serious. Wengi wamekuja kunijaribu tu basi, aliyeserious ndiyo namuhitaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ye mwenyewe hayuko serious.anatest mitamboUlitumia kipimo gani kwa aliye serious na asiye serious?
Ipo mitambo mingine haitestiwi🥱Ye mwenyewe hayuko serious.anatest mitambo
Huyo hana issueKaribu uwe mke wa pili