๐Hiv ni kwann??Afu sisi walimu tunataka wanajeshi๐คธ
๐Vigezo vimekidhi kasoro hapo kwenye mwanajeshi.. anyway ni shabiki wa konde gang jeshi si tayari nshakua mwanajeshi๐ฅด๐ฅด๐ฅด karibu pm
Sijui cute๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐Hiv ni kwann??
Huyu ni mwanajeshi tuko naye kikosi kimoja sema yuko kitengo cha Umeme wa makombora.Fundi umeme Tena[emoji15]Si umeona hapo nimeandika namwitaji mwanajeshi jaman
Kho kho kho jeshiiiiii......Vigezo vimekidhi kasoro hapo kwenye mwanajeshi.. anyway ni shabiki wa konde gang jeshi si tayari nshakua mwanajeshi[emoji3061][emoji3061][emoji3061] karibu pm
๐๐๐๐
Vipi mzee unataka kuanzisha vita?Hii ni kwa wanawake tuu yani wanaume haiwahusu:
Nahitaji mwanamke ambaye Mungu akipenda ndiye atakuwa mke wangu. Njoo PM kama ni muhitaji nitumie sms huko tukielewana utapata namba zangu za simu nami nitapata zako.
Sifa zangu:
Dini: Mkristo
Umri:35
Elimu: chuo kikuu(masters)
Kazi: Ni muajiliwa (government)pia ni mfanya biashara.
Ninako ishi: Dar es salaam.
Muonekano wangu: Si mnene wala si mwembamba sana, si mweusi wala mweupe sana.
Sifa za nimtakae:
Dini:Yoyote
Umri: 18 - 50
Elimu: Kuanzia kidato cha nne na kuendelea.
Kazi: Awe Mwanajeshi(jeshi la wananchi au jeshi la police)
Anako ishi: Iwe popote ila ukiwa Dar es salaam itapendeza.
Muonekano wake: Awe anajipenda, msafi mwenye adabu, heshima na utii.
NB: awe tayari kupima afya.
Naamini kuna wengine watadharau na kukejeri ila ninacho amini mke au mume mwema anatoka kwa Mungu na Mungu humpa mtu kwa njia yoyote ile hivyo hata hapa ni njia tu na ninaweza mpata mwenza wangu.
nakuitaji kama hutojalVigezo vimekidhi kasoro hapo kwenye mwanajeshi.. anyway ni shabiki wa konde gang jeshi si tayari nshakua mwanajeshi๐ฅด๐ฅด๐ฅด karibu pm
Kivipi mkuunakuitaji kama hutojal
Mm napenda mwanaume mwanajeshi yaan nikiwaonaga najisikia kulowa kwa kweli,Hii ni kwa wanawake tuu yani wanaume haiwahusu:
Nahitaji mwanamke ambaye Mungu akipenda ndiye atakuwa mke wangu. Njoo PM kama ni muhitaji nitumie sms huko tukielewana utapata namba zangu za simu nami nitapata zako.
Sifa zangu:
Dini: Mkristo
Umri:35
Elimu: chuo kikuu(masters)
Kazi: Ni muajiliwa (government)pia ni mfanya biashara.
Ninako ishi: Dar es salaam.
Muonekano wangu: Si mnene wala si mwembamba sana, si mweusi wala mweupe sana.
Sifa za nimtakae:
Dini:Yoyote
Umri: 18 - 50
Elimu: Kuanzia kidato cha nne na kuendelea.
Kazi: Awe Mwanajeshi(jeshi la wananchi au jeshi la police)
Anako ishi: Iwe popote ila ukiwa Dar es salaam itapendeza.
Muonekano wake: Awe anajipenda, msafi mwenye adabu, heshima na utii.
NB: awe tayari kupima afya.
Naamini kuna wengine watadharau na kukejeri ila ninacho amini mke au mume mwema anatoka kwa Mungu na Mungu humpa mtu kwa njia yoyote ile hivyo hata hapa ni njia tu na ninaweza mpata mwenza wangu.