Nahitaji mwanamke ambaye ni askari(Jeshi la Wananchi TPDF au Jeshi la Polisi) awe mke wangu

Utakuwa unaendesha PASSO
Weka tu sticker za REFLECTOR pande zote nne. Faini za barabarani ziko pale pale hata ukiwa na mkeo.
Tunamuogopa mtoto wa simbatuueni [emoji23][emoji23][emoji23]
By Trafiki wa zamu

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Vipi mzee unataka kuanzisha vita?
 
Nenda kambini mwao wapo wengi sana tena utamani Sana kuolewa na Raia
 
Mm napenda mwanaume mwanajeshi yaan nikiwaonaga najisikia kulowa kwa kweli,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ