Nahitaji mwanamke ambaye ni askari(Jeshi la Wananchi TPDF au Jeshi la Polisi) awe mke wangu

Nahitaji mwanamke ambaye ni askari(Jeshi la Wananchi TPDF au Jeshi la Polisi) awe mke wangu

Hii ni kwa wanawake tuu yani wanaume haiwahusu:

Nahitaji mwanamke ambaye Mungu akipenda ndiye atakuwa mke wangu. Njoo PM kama ni muhitaji nitumie sms huko tukielewana utapata namba zangu za simu nami nitapata zako.

Sifa zangu:
Dini: Mkristo
Umri:35
Elimu: chuo kikuu(masters)
Kazi: Ni muajiliwa (government)pia ni mfanya biashara.
Ninako ishi: Dar es salaam.
Muonekano wangu: Si mnene wala si mwembamba sana, si mweusi wala mweupe sana.

Sifa za nimtakae:
Dini:Yoyote
Umri: 18 - 50
Elimu: Kuanzia kidato cha nne na kuendelea.
Kazi: Awe Mwanajeshi(jeshi la wananchi au jeshi la police)
Anako ishi: Iwe popote ila ukiwa Dar es salaam itapendeza.
Muonekano wake: Awe anajipenda, msafi mwenye adabu, heshima na utii.

NB: awe tayari kupima afya.
Naamini kuna wengine watadharau na kukejeri ila ninacho amini mke au mume mwema anatoka kwa Mungu na Mungu humpa mtu kwa njia yoyote ile hivyo hata hapa ni njia tu na ninaweza mpata mwenza wangu.
Ukiwa na mchepuko atatumiwa wabakaji na wanamuwekea nyimbo ya mtoto kautaka.
 
Ukimpata nipe connections na mashemeji zako wajeda mkuu 😀😀 sharti bega liwe chafu
 
Hii ni kwa wanawake tuu yani wanaume haiwahusu:

Nahitaji mwanamke ambaye Mungu akipenda ndiye atakuwa mke wangu. Njoo PM kama ni muhitaji nitumie sms huko tukielewana utapata namba zangu za simu nami nitapata zako.

Sifa zangu:
Dini: Mkristo
Umri:35
Elimu: chuo kikuu(masters)
Kazi: Ni muajiliwa (government)pia ni mfanya biashara.
Ninako ishi: Dar es salaam.
Muonekano wangu: Si mnene wala si mwembamba sana, si mweusi wala mweupe sana.

Sifa za nimtakae:
Dini:Yoyote
Umri: 18 - 50
Elimu: Kuanzia kidato cha nne na kuendelea.
Kazi: Awe Mwanajeshi(jeshi la wananchi au jeshi la police)
Anako ishi: Iwe popote ila ukiwa Dar es salaam itapendeza.
Muonekano wake: Awe anajipenda, msafi mwenye adabu, heshima na utii.

NB: awe tayari kupima afya.
Naamini kuna wengine watadharau na kukejeri ila ninacho amini mke au mume mwema anatoka kwa Mungu na Mungu humpa mtu kwa njia yoyote ile hivyo hata hapa ni njia tu na ninaweza mpata mwenza wangu.
Sasa kama mungu humpa mtu mke ama mume kwa njia yeyote ile,......kwa nini wewe utake huyo mke apitie njia ya uaskari?
 
Wakifikia ngazi ya Warranty officer 1 or 2 huwa wanakengeuka kinyama.

Kwa poli wakianza sergeant au kufikia staff sergeant wanasumbua kinyama.

Kama utawaweza kila la kheri mkuu, andaa hata karevolver ka kujilipua akianza kukupelekesha.
 
Wakifikia ngazi ya Warranty officer 1 or 2 huwa wanakengeuka kinyama.

Kwa poli wakianza sergeant au kufikia staff sergeant wanasumbua kinyama.

Kama utawaweza kila la kheri mkuu, andaa hata karevolver ka kujilipua akianza kukupelekesha.
Na sijui ni kwanini tu tena hasa kwanzia S/SGT Huwa ni moto hasa
 
Back
Top Bottom