Nahitaji mwanamke asiyezaa

Yan nikajua unawaitia dawa!!


Mambo yasiwe mengi, Edit Uzi wako andika unataka mwanamke asiye na malengo ya kuja kuzaa.
Kwani wewe unazaa au unajifungua?
 
[emoji4][emoji2] cjui patakuwa waziiii
Hujambo?

Mbona jina lako linafanana sana na la mjukuu wangu mpenzi Joanah

Isije ikawa wewe ndie pacha wake uliyepotea....

Tafadhali kama ni wewe, rudi nyumbani kumenoga
 
Hujambo?

Mbona jina lako linafanana sana na la mjukuu wangu mpenzi Joanah

Isije ikawa wewe ndie pacha wake uliyepotea....

Tafadhali kama ni wewe, rudi nyumbani kumenoga

Kumbe nina pacha??

Sijawahi kujua hii 😂
 
Ina maana kila mwanamke alie JF anaweza kuzaa ?
 
Dah! Kigezo chà umri nimenikosesha mume nimezidi kidogo
 
Nilipodhani kwamba nmeona vyote vya dunia hii mpaka nikakutana na huu uzi.
 
Umenichekesha sna wkt fln Niko nataka kusex na mwanamke mmoja demu wangu Ila akanitadharisha kuwanisimwage ndani asije kubeba mimba kipind hiki duh bas nikamjibu mm cwezi kuzalisha ....akashanga Sana [emoji38] [emoji38] na kucheka bas
 
Kauli yako haikukaa vizuri, sema hivi ! "Nahitaji mwanamke wa kuishi nae ila sihitaji watoto" Yeye atajua namna ya kujipanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…