- Thread starter
- #161
Nina depression nimeshawahi Kukuomba Lishe au Pesa? Una Uwendawazimu mkubwa sana tu sema hujui.ndo tusi lako la mwaka he he he, depression is real
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina depression nimeshawahi Kukuomba Lishe au Pesa? Una Uwendawazimu mkubwa sana tu sema hujui.ndo tusi lako la mwaka he he he, depression is real
kama ni jina zuri, naomba nikuite hvyo pia uvutiwe hasira zipungueMatusi unayajua? Watafute BAKITA wakuelimishe.
Pata chai kwanza uwe na nguvu ya kuchart au ndo deshi mpaka mchana ?Nina depression nimeshawahi Kukuomba Lishe au Pesa? Una Uwendawazimu mkubwa sana tu sema hujui.
new galPole kwani ninaumwa au nipo ICU nakaribia Kufa?
msaidieni mwanaume mwenzenu, hali mbaya sana kwa kina adela
Ingependeza zaidi Wanawake Wenzako hapa wakaanza Kukusaidia Mpumbavu na Mwendawazimu Wewe unayehangaika Kujipendekeza kwa Mwanaume nisiyekutaka katika huu Uzi wangu.msaidieni mwanaume mwenzenu, hali mbaya sana kwa kina adela
Kwakuwa na Umasikini wangu mkubwa huu na Changamoto zangu nyingi za Kimaisha huwa nakunywa Chai Kwako na Chakula nitafanya hivyo sawa? Je, una lingine tena Wewe Mpumbavu na Mwendawazimu?Pata chai kwanza uwe na nguvu ya kuchart au ndo deshi mpaka mchana ?
mimi mbona mapema tu nmejua hufai kaka, mi na mwanaume anayejiita masikini wap na wap aisee. Nikichelewa kurud ulie nakunyanyasa kisa maskini woii🤣🤣🤣🤣Ingependeza zaidi Wanawake Wenzako hapa wakaanza Kukusaidia Mpumbavu na Mwendawazimu Wewe unayehangaika Kujipendekeza kwa Mwanaume nisiyekutaka katika huu Uzi wangu.
Cc: That Gentleman
weka akaunti namba au namba ya simu tukuchangie upunguze hasiraKwakuwa na Umasikini wangu mkubwa huu na Changamoto zangu nyingi za Kimaisha huwa nakunywa Chai Kwako na Chakula nitafanya hivyo sawa? Je, una lingine tena Wewe Mpumbavu na Mwendawazimu?
Cc: That Gentleman
nipo teyari weka namba zako za simoSipendi kudanganya na kuficha nina Maisha magumu na napitia Changamoto kadhaa za Kimaisha, ila naamini nikimpata Mwanamke mwenye hali kama yangu na tukapendana, kushirikiana, tukapambana na kumuomba Mwenyezi Mungu bila Kuchoka basi Umasikini wetu utabadilika na Mafanikio kutupata.
Naitwa Caludgi Mtemi Mpota nina miaka 43. Nina Shahada ya Kwanza ya Chuo Kikuu. Ni Mkristo wa Katoliki na Kabila langu ni Mmwela.
Nakaribisha Mwanamke mwenye Umri wa kuanzia miaka 38 mpaka miaka 43 tu tafadhali.
Kama kutakuwa na Mwanamke mwingine ambaye siyo Masikini kama niliyemhitaji na atapenda kuwa nami basi Kwanza awe tayari Kuupokea huu Umasikini wangu na Kipaumbele chetu kiwe ni Kushirikiana ili tuinuke pamoja.
Nipo tayari kupima nae Afya ya Magonjwa yote makubwa na hatarishi katika Hospitali yoyote ile muda na wakati wowote akihitaji ili ajiridhishe nami na tujiridhishe sote pia Kiafya.
Kwa Mwanamke atakayekuwa na nia ya Dhati nami basi tuwasiliane kupitia email address yangu hii ya mtemi.m@yahoo.com na nakaribisha zaidi Wanawake wa walioko Dar es Salaam, Morogoro na Tanga kutokana na Ukaribu wa Kijiografia.
Kwani kuna mahala popote pale uliona Mimi nimesema nakutaka Mwanamke Tajiri ila Pumbavu na Mwendawazimu kama Wewe?mimi mbona mapema tu nmejua hufai kaka, mi na mwanaume anayejiita masikini wap na wap aisee. Nikichelewa kurud ulie nakunyanyasa kisa maskini woii🤣🤣🤣🤣
Cc: new gal, That GentlemanWanawake wa JF hiyo ni fursa mwanana huyu jamaa ni tajiri sana na ana pesa nyingi hiyo ni katika trick moja wapo wa kuwaangalia wanawake wakweli wasio na tamaaa kazi kwenu.
Masikini kama Mimi naweza kweli kuwa na Akaunti Namba? Kuhusu Hasira huwa nakuwa nazo hasa pale nikikutana na Nitwits and Mental kama Wewe.weka akaunti namba au namba ya simu tukuchangie upunguze hasira
Masikini na mwenye Changamoto za Kimaisha kama Mimi naweza kweli hata kuwa na hiyo Simu? Mimi nina hiyo email address tu ya mtemi.m@yahoo.com na sina kingine.nipo teyari weka namba zako za simo
pamoja mkuuMasikini na mwenye Changamoto za Kimaisha kama Mimi naweza kweli hata kuwa na hiyo Simu? Mimi nina hiyo email address tu ya mtemi.m@yahoo.com na sina kingine.
Pamoja Tajiri ( Lodi ) wangu JamiiForums nzima na Mwanamke Mnyange ( Mrembo ) JamiiForums nzima.pamoja mkuu
Kuna mahala popote pale nimesema naukumbatia na naupenda Umasikini kiasi kwamba najivunia nao hapa JamiiForums?Mkuu nikushauri tu katika maisha yako chukia sana umasikini, wala usiukumbatie wala uisone ni sifa kujitambulisha wala kujiona mnyonge ukachikulia ni jambo la kawaida ...utateseka sana .
Jaribu kutafuta mtu mwenye maengo na ndoto zakufanikiwa kama wewe, na uchunguze kujuwa kama ana mapenzi ya dhati.!
Achana na sifa za umasikini au unyonge...utataabika maisha yako yote ukiiendekeza hiyo mentality ikutawale.
Anza kuona mafanikio kwenye maisha yako ... kwa juhufi zako utafanikiwa
Asante kaka, napokea baraka hizi aminaPamoja Tajiri ( Lodi ) wangu JamiiForums nzima na Mwanamke Mnyange ( Mrembo ) JamiiForums nzima.