Nahitaji Mwanamke mwenye Umasikini kama wangu ili tupendane Kidhati na tushirikiane Kuinuka Kimaisha

Nahitaji Mwanamke mwenye Umasikini kama wangu ili tupendane Kidhati na tushirikiane Kuinuka Kimaisha

msaidieni mwanaume mwenzenu, hali mbaya sana kwa kina adela
Ingependeza zaidi Wanawake Wenzako hapa wakaanza Kukusaidia Mpumbavu na Mwendawazimu Wewe unayehangaika Kujipendekeza kwa Mwanaume nisiyekutaka katika huu Uzi wangu.

Cc: That Gentleman
 
Pata chai kwanza uwe na nguvu ya kuchart au ndo deshi mpaka mchana ?
Kwakuwa na Umasikini wangu mkubwa huu na Changamoto zangu nyingi za Kimaisha huwa nakunywa Chai Kwako na Chakula nitafanya hivyo sawa? Je, una lingine tena Wewe Mpumbavu na Mwendawazimu?

Cc: That Gentleman
 
Ingependeza zaidi Wanawake Wenzako hapa wakaanza Kukusaidia Mpumbavu na Mwendawazimu Wewe unayehangaika Kujipendekeza kwa Mwanaume nisiyekutaka katika huu Uzi wangu.

Cc: That Gentleman
mimi mbona mapema tu nmejua hufai kaka, mi na mwanaume anayejiita masikini wap na wap aisee. Nikichelewa kurud ulie nakunyanyasa kisa maskini woii🤣🤣🤣🤣
 
Kwakuwa na Umasikini wangu mkubwa huu na Changamoto zangu nyingi za Kimaisha huwa nakunywa Chai Kwako na Chakula nitafanya hivyo sawa? Je, una lingine tena Wewe Mpumbavu na Mwendawazimu?

Cc: That Gentleman
weka akaunti namba au namba ya simu tukuchangie upunguze hasira
 
Sipendi kudanganya na kuficha nina Maisha magumu na napitia Changamoto kadhaa za Kimaisha, ila naamini nikimpata Mwanamke mwenye hali kama yangu na tukapendana, kushirikiana, tukapambana na kumuomba Mwenyezi Mungu bila Kuchoka basi Umasikini wetu utabadilika na Mafanikio kutupata.

Naitwa Caludgi Mtemi Mpota nina miaka 43. Nina Shahada ya Kwanza ya Chuo Kikuu. Ni Mkristo wa Katoliki na Kabila langu ni Mmwela.

Nakaribisha Mwanamke mwenye Umri wa kuanzia miaka 38 mpaka miaka 43 tu tafadhali.

Kama kutakuwa na Mwanamke mwingine ambaye siyo Masikini kama niliyemhitaji na atapenda kuwa nami basi Kwanza awe tayari Kuupokea huu Umasikini wangu na Kipaumbele chetu kiwe ni Kushirikiana ili tuinuke pamoja.

Nipo tayari kupima nae Afya ya Magonjwa yote makubwa na hatarishi katika Hospitali yoyote ile muda na wakati wowote akihitaji ili ajiridhishe nami na tujiridhishe sote pia Kiafya.

Kwa Mwanamke atakayekuwa na nia ya Dhati nami basi tuwasiliane kupitia email address yangu hii ya mtemi.m@yahoo.com na nakaribisha zaidi Wanawake wa walioko Dar es Salaam, Morogoro na Tanga kutokana na Ukaribu wa Kijiografia.
nipo teyari weka namba zako za simo
 
mimi mbona mapema tu nmejua hufai kaka, mi na mwanaume anayejiita masikini wap na wap aisee. Nikichelewa kurud ulie nakunyanyasa kisa maskini woii🤣🤣🤣🤣
Kwani kuna mahala popote pale uliona Mimi nimesema nakutaka Mwanamke Tajiri ila Pumbavu na Mwendawazimu kama Wewe?
 
weka akaunti namba au namba ya simu tukuchangie upunguze hasira
Masikini kama Mimi naweza kweli kuwa na Akaunti Namba? Kuhusu Hasira huwa nakuwa nazo hasa pale nikikutana na Nitwits and Mental kama Wewe.
 
Mkuu nikushauri tu katika maisha yako chukia sana umasikini, wala usiukumbatie wala uisone ni sifa kujitambulisha wala kujiona mnyonge ukachikulia ni jambo la kawaida ...utateseka sana .

Jaribu kutafuta mtu mwenye maengo na ndoto zakufanikiwa kama wewe, na uchunguze kujuwa kama ana mapenzi ya dhati.!

Achana na sifa za umasikini au unyonge...utataabika maisha yako yote ukiiendekeza hiyo mentality ikutawale.

Anza kuona mafanikio kwenye maisha yako ... kwa juhufi zako utafanikiwa
 
Mkuu nikushauri tu katika maisha yako chukia sana umasikini, wala usiukumbatie wala uisone ni sifa kujitambulisha wala kujiona mnyonge ukachikulia ni jambo la kawaida ...utateseka sana .

Jaribu kutafuta mtu mwenye maengo na ndoto zakufanikiwa kama wewe, na uchunguze kujuwa kama ana mapenzi ya dhati.!

Achana na sifa za umasikini au unyonge...utataabika maisha yako yote ukiiendekeza hiyo mentality ikutawale.

Anza kuona mafanikio kwenye maisha yako ... kwa juhufi zako utafanikiwa
Kuna mahala popote pale nimesema naukumbatia na naupenda Umasikini kiasi kwamba najivunia nao hapa JamiiForums?

Mpuuzi mkubwa Wewe acha kunipotezea muda na hizi Pumba zako na Kukurupuka Kwako katika huu Uzi ambao nina uhakika hujausoma vizuri na Kuuelewa au hata Kunielewa nami pia.
 
Back
Top Bottom