Nahitaji mwanamke wa kuoa Ana VIH +

Nahitaji mwanamke wa kuoa Ana VIH +

jemus

New Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
3
Reaction score
5
Hello!
Mungu awababariki
Niko mwanaume with 42age
With VIH + and mtoto mmoja
NATAKA MWANAMKE wa kuoa
Same life.
Mwanamke akubari ku inshi Tanzania au Rwanda
Kwa SABABU Mimi nainshi Rwanda.
Niko na level bachelor degree
But napenda BIASHARA Sana
That is the why I know Arusha ,Kilimanjaro ,kahama,singida
All
Sasa Kama UNAWEZA kukubari nitumie texte hapa
bressinginnocent@gmail.com
Asante
 
Kaka hicho kiingereza !

Anyway niishie hapa kwani sitaki NSHOMILE. nionekane nimesoma sana
 
Juzi kati haoa kuna mrembo aliweka na yeye tangazo anatafta mwanaume kama wewe.
Em cheki cheki humu jukwaani kama utaona uzi wake miende mkajivinjari
 
Hello!
Mungu awababariki
Niko mwanaume with 42age
With VIH + and mtoto mmoja
NATAKA MWANAMKE wa kuoa
Same life.
Mwanamke akubari ku inshi Tanzania au Rwanda
Kwa SABABU Mimi nainshi Rwanda.
Niko na level bachelor degree
But napenda BIASHARA Sana
That is the why I know Arusha ,Kilimanjaro ,kahama,singida
All
Sasa Kama UNAWEZA kukubari nitumie texte hapa
bressinginnocent@gmail.com
Asante
Mungu akupe haja ya moto wako,hata yule ambae Hana HIV+ Mungu atakupa AMINi TU.ukimtegemea Mungu hubadilisha yote.
 
Kuna dada japo katoa Uzi wa same content, why not hooking up?
 
Back
Top Bottom