Nahitaji mwanamke wa kuoa

Nahitaji mwanamke wa kuoa

Sasa kama hana ukimuelewa

Sasa akikuambia sina ukimuelewa na ukawa mvumiilivu hawez kukutupa lakin akikuambia umekwama mtaanza lawama mara ndugu zako unawasaidia mimi hutak una roho mbaya hapo ndip unamvuruga lakin ukimwambia umekwama na yeye akaona hustle zako na ukawa unakaribia kufunga biashara lazima atie nguvu
Huyo ni malaika tu wa mbinguni humu hakuna
 
Back
Top Bottom