Nahitaji mwanangu apate malezi ya baba

Nahitaji mwanangu apate malezi ya baba

Baada ya kupitia comments zote kwenye huu uzi......
Nimejikuta nahitimisha kwa kusema kwamba, hii sio Jf ile yenye niliijua kitambo.
Jf imebadilika, na watu hawaheshimiani wala kuheshimu mawazo ya wengine kama zamani.
Jf imekua na vijana wajuaji waliopita kipimo cha kawaida, na mbaya zaidi wamekua wakiwanyooshea vidole single mamaz as if wao hawana watu wa aina hiyo kwenye familia zao. Na mbaya zaidi sioni vijana hawa wakiwa tweza single babaz......
Ukweli nimejikuta naishia kusikitika tu
Nina hakika kuna kundi la watu limeandaliwa kubadili mwelekeo halisi wa dhamira ya Jf na kulifanya jukwaa liwe la wahuni na wasiostaarabika.Lengo kuwachosha wenye misimamo ya kisiasa na wale wachambuzi wa siasa na tawala za mataifa.

Nina hakika huu ni muda wa ilo kundi/kikundi kukamilisha mapinduzi dhidi ya JF

Km uongozi wa Jf hautozingatia ili,muda si mrefu tutashuhudia anguko la maadili na umbea na mada za Mapenzi na lifestyle ndio itakua msingi wake mpya.
 
Aliyetayari kuwa baba wa mwanangu anitafute PM.
SIFA . Awe na umri kati ya miaka 30_45; Akubali mtoto atumie majina yake ata akipenda anaweza mtafutia jina lingine; Elimu kuanzia diploma; awe amejiajiri au kuajiriwa; Awe na yy anamtoto/watoto au kama hana hakuna shida; asiwe mfupi.
SIFA ZANGU. Umri 27; mama wa mtoto 1 wa kike; elimu degree, sio mrefu wala mfupi;
[emoji121]
 
Nina hakika kuna kundi la watu limeandaliwa kubadili mwelekeo halisi wa dhamira ya Jf na kulifanya jukwaa liwe la wahuni na wasiostaarabika.Lengo kuwachosha wenye misimamo ya kisiasa na wale wachambuzi wa siasa na tawala za mataifa.

Nina hakika huu ni muda wa ilo kundi/kikundi kukamilisha mapinduzi dhidi ya JF

Km uongozi wa Jf hautozingatia ili,muda si mrefu tutashuhudia anguko la maadili na umbea na mada za Mapenzi na lifestyle ndio itakua msingi wake mpya.
Saiv ni mapenz tu kaka siasa tumewaachia akina ney wa mitego
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Baada ya kupitia comments zote kwenye huu uzi......
Nimejikuta nahitimisha kwa kusema kwamba, hii sio Jf ile yenye niliijua kitambo.
Jf imebadilika, na watu hawaheshimiani wala kuheshimu mawazo ya wengine kama zamani.
Jf imekua na vijana wajuaji waliopita kipimo cha kawaida, na mbaya zaidi wamekua wakiwanyooshea vidole single mamaz as if wao hawana watu wa aina hiyo kwenye familia zao. Na mbaya zaidi sioni vijana hawa wakiwa tweza single babaz......
Ukweli nimejikuta naishia kusikitika tu
Kumbe mkuu unakuwaga serious muda mwingine hongera sana
 
Kumbe mkuu unakuwaga serious muda mwingine hongera sana
Duhhh.....
Pamoja na mshangao kidogo, ebu kwanza naomba niseme asante..... Kabla sijaambatanisha na swali.
Kwanini umejishangaza, na kisha kuuliza kama kuna wakati ninakuwa na comments/mawazo ama maoni chanya...!!??
 
Baba yake yuko wapi? mwanzo unaweza kuwa mzuri,ila mwisho unaweza kuwa mbaya....
 
Aliyetayari kuwa baba wa mwanangu anitafute PM.
SIFA . Awe na umri kati ya miaka 30_45; Akubali mtoto atumie majina yake ata akipenda anaweza mtafutia jina lingine; Elimu kuanzia diploma; awe amejiajiri au kuajiriwa; Awe na yy anamtoto/watoto au kama hana hakuna shida; asiwe mfupi.
SIFA ZANGU. Umri 27; mama wa mtoto 1 wa kike; elimu degree, sio mrefu wala mfupi;
Nicheki PM kama kweli
 
Back
Top Bottom