Me too
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,388
- 9,333
Heshima kwenu!!!
Kiukweli nipo serious sihitaji mzaha wa kupotezeana muda.
Kwa wanasaikolojia wote mliopo humu JamiiForums nawaombeni pindi mtakapokuwa free mnisaidie tatizo langu.
Shida yangu kuu nisaidieni namna ya kumliwaza mtu aliyejichukia na kuamua kujitenga hataki kukaa na watu. Yaani ni mkali hata namna ya kumsogelea unashindwa.
Ombi kuu mnipe mbinu za kumtoa katika hali yake taratibu yaani maneno ya kumfariji vitu vya kumfanyia n.k ili atoke katika hali hiyo inaniuma sana ndugu yangu huyu kuamua kujichukia / kujitenga hata simu hapokei katu blacklist.
Msaada wenu wanasaikolojia.
Kiukweli nipo serious sihitaji mzaha wa kupotezeana muda.
Kwa wanasaikolojia wote mliopo humu JamiiForums nawaombeni pindi mtakapokuwa free mnisaidie tatizo langu.
Shida yangu kuu nisaidieni namna ya kumliwaza mtu aliyejichukia na kuamua kujitenga hataki kukaa na watu. Yaani ni mkali hata namna ya kumsogelea unashindwa.
Ombi kuu mnipe mbinu za kumtoa katika hali yake taratibu yaani maneno ya kumfariji vitu vya kumfanyia n.k ili atoke katika hali hiyo inaniuma sana ndugu yangu huyu kuamua kujichukia / kujitenga hata simu hapokei katu blacklist.
Msaada wenu wanasaikolojia.