Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
Wana jamvi, nahitaji mwanasheria tutagawana mapato, kuna kampuni nahitaji kuipeleka mahakamani wanilipe fidia sasa sina pesa za kumlipa mwamasheria ila tutakula wote kitakacho lipwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutapamga gharama za wao kunilipa maana wamenidhalilisha sana,Kama sh ngapi jumla?
Ni kwamba wamenichafuaNingekupa namba ya mmoja ila sijui kampuni imekufanyaje,
Nipo mdogo wake TAL nipe mchongo mzimaNi kwamba wamenichafua