Nahitaji mwanaume anayefaa kuwa mume

Nahitaji mwanaume anayefaa kuwa mume

Nina kakaangu anataka mke ila hajafikisha miaka 30 ana miaka 29 na miezi 11 vipi atafaa??
 
Naomba nikupe wa Kwangu anataka kuoa mke mdogo
 
Hivi katika hali ya kawaida, inakuaje mwanamke anatafuta Mchumba tena kwa mtandao.
Mi najua wanawake ni watu wa kutongozwa, husubiri wanaume waje wawatongoze kisha wao wenyewe kwa utashi wao wachague mwanaume wanayemtaka katika hao.
Unayemtaka asipokutongoza ?
 
Simaanish kua mdini ila mabango wa wadada wakristo yamezid jaman..kunan uko
 
Wafupi tutapata wake kweli? maana Kila bandiko asiwe mfupi? Wafupi tufanyaje ili tupate watoto wazuri wazuri.au ndio tuvae Raizoni
 
Hello, mambo? Nimeiona post yako ya kutafuta mchumba. Nami natafuta mwenza. Nafasi ipo?
 
Back
Top Bottom