rejea uzi wangu natafuta mke sina masharti yoyote!mimi n mwanamke wa miaka 29 nmeamua kuja jukwaani kutoa hitaji langu la moyo,kwa yeyote mwenye mapenzi ya dhati karibu sana.nipo mkoa wa mwanza,nngefurahi kama nngepata mt wa mwanza,mimi n mrefu kiasi,choklet,mkristo na n mwajiriwa serikalin,ni PM tuzngumze kama haupo na lengo jitahidi kupita tu ,asanteni
n pm tuongeeMimi niko mwanza.Nitakupataje?
Kigezo cha mtu kuwa mwanza kimenitoa njianimimi n mwanamke wa miaka 29 nmeamua kuja jukwaani kutoa hitaji langu la moyo,kwa yeyote mwenye mapenzi ya dhati karibu sana.nipo mkoa wa mwanza,nngefurahi kama nngepata mt wa mwanza,mimi n mrefu kiasi,choklet,mkristo na n mwajiriwa serikalin,ni PM tuzngumze kama haupo na lengo jitahidi kupita tu ,asanteni
poaKigezo cha mtu kuwa mwanza kimenitoa njiani
By the way nilikuhitaji sana kwani unaonekana mwanamke uliye sirious na maisha, tatizo mimi siko mwanza niwe muwazi nimeyaona matangazo mengi kama haya, lakini hili limenigusa
Niko mbali na bahati mbaya kabila hasimu na wewe, mi ni muha wa kigoma, kama hutojari utani pm angalau unipe interview[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Kama huna shida na hizi mkuu ni shidaAcheni kujiingiza mkenge una uhakika ni ke?
njoo tnene plzNakuja pm sahizi nimeridhika na vigezo vyako ni rahisi sana but napenda kujua iwapo kama una mtoto
Mbona mimi pm yako umenifungia??[emoji134] [emoji134]njoo tnene plz
hapanaMbona mimi pm yako umenifungia??[emoji134] [emoji134]
Au ndio sina vigezo
ustaarabu kwani nimekuudhi wapi???..... suala la kuulizia kuhusu chura kwa sisi wanaume ni suala la kawaida kabisa kama ninyi mnavyopenda wanaume warefu,wenye vifua vipana, wenye misuli e.t.c!!jitahdi kuwa mstarabu
ubarkiwe,asanteustaarabu kwani nimekuudhi wapi???..... suala la kuulizia kuhusu chura kwa sisi wanaume ni suala la kawaida kabisa kama ninyi mnavyopenda wanaume warefu,wenye vifua vipana, wenye misuli e.t.c!!
Basi itakua ni bahati yangu. Ngoja tuu nikae pembenihapana
Asante ila bado hujajibu swali langu![emoji30]ubarkiwe,asante
ok sawaBasi itakua ni bahati yangu. Ngoja tuu nikae pembeni