- Thread starter
- #61
sawaWakati mwingine watu kama nyie naimbaga hivi.....
Msichana wa sura nzuriii,
Kitu gani kimekufanya Usiolewe,
Elimu unayo yakutosha,
hata ng'ambo ukaenda ukarudi.
Miaka yaenda Mbio sanaaa,
Na sura yako yazidi chuchukaaa
Ona watoto wa Nyuma yako,
wameolewa wamekuacha...