sawaWakati mwingine watu kama nyie naimbaga hivi.....
Msichana wa sura nzuriii,
Kitu gani kimekufanya Usiolewe,
Elimu unayo yakutosha,
hata ng'ambo ukaenda ukarudi.
Miaka yaenda Mbio sanaaa,
Na sura yako yazidi chuchukaaa
Ona watoto wa Nyuma yako,
wameolewa wamekuacha...
sawaN pm tuzungumze mm pm haikubali bado n mgen jamvin
pole sanaKIMBIA FASTA HAPA MABATINI NIKUKUTE KITUO CHA DALADALA HAPO SASA HIVI NAKUJA
NITAKUTAMBUAJE ?
aminapoa, utashinda tu.
sawaSubiri anakuja
asante sanaSikujua kama hili na kuoa na kuolewa ni janga kiasi hiki..
Mungu akusaidieni nyote
sawaDah... Mimi hapo ndiyo nashangaa... Kabla hujatangaza kuuza Tafuta kwanza aliyetangaza kununua inakuwa simpo sana....labda uwe unauza kwa zabuni[emoji12] [emoji12]
Sikujua kama hili na kuoa na kuolewa ni janga kiasi hiki..
Mungu akusaidieni nyote
sidhan kama kuna ukweliKuna reason moja kati ya hizi
1.wako kwenye special assignment
2.hawajiamini kutumia ID zao za zamani.
umr kuanzia 29 na kuendelea mwisho37Kuhusu dini na umri Wa mme unayemtaka vp? au NIseme wasifu Wa mume mtarajiwa unataka uwe Vp?
Pm nipo mza maeneo ya nela hapa tuyajengeMimi ni mwanamke wa miaka 29 nimeamua kuja jukwaani kutoa hitaji langu la moyo, kwa yeyote mwenye mapenzi ya dhati karibu sana, nipo mkoa wa Mwanza, ningefurahi kama ningepata mwanaume wa Mwanza, mimi ni mrefu kiasi, chocolate, mkristo na ni mwajiriwa serikalini.
Ni PM tuzingumze, kama haupo na lengo jitahidi kupita tu.
Asanteni
poaPm nipo mza maeneo ya nela hapa tuyajenge
Tuchekiane pls
poaTuchekiane pls
Kimyaaa
kwa lipKimyaaa
hahahaa kwa nini?kawaida t kila mt kaumbwa tofautiHhhhhhhhhhhhhhhhh wanaume sijui tukoje