Nahitaji mwanaume atakayekuwa mume wangu

Hahahah...kwel ndoa ndo tulizo la moyo kati ya nafsi ya mwanamke na mwanaume "nakuombea mungu umpate umtakaye ila mungu akupe mwenye tabia uzitakazo wew ili ndoa iwe yenye furaha wakat ote"
 

Ohoooo!!! Na nilivyochelewa kuuona uzi huu!? Sijui njemba zitakuwa tayari zimeniwahi kwa kichuna!?

Nawaza kwa sauti tu!
 
Hahahah...kwel ndoa ndo tulizo la moyo kati ya nafsi ya mwanamke na mwanaume "nakuombea mungu umpate umtakaye ila mungu akupe mwenye tabia uzitakazo wew ili ndoa iwe yenye furaha wakat ote"
nashukur sana
 
Utachagua mpaka ufike 60yrs Walt uwiano wa me na me ni 1:33 we chezea tu umri nitafute Leo week end by 7 mchana nitakuwa dv8 mecco nyakato
 
nicheck hapa meu760@gmail.com
 
OK bas poa kama ushapata,lakini kama bado hujapata Mme mm nipo kukutia moyo kuwa usikate tamaa binti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…