Nahitaji mwanaume M-nigeria au M-ghana

Nahitaji mwanaume M-nigeria au M-ghana

Rahisi tafuta Hammer / gari zuri na benki statement ya kugushi ya dollar (at least 20,000 balance ) halafu uwe una-hang pale samaki samaki Mlimani city watakutokea tu wakulize.
 
Sina sharti lolote wala siangalii kigezo chochote ili mradi uwe na pesa.

Asanteni

Madame B


First of all hukusema huyo mwanaume unamtaka kwa ajili gani pili approach uliyotumia ya kumtafuta foreigner huku uswahilini huku ukijua unaowatafuta wanapatikana west Afrika ni kwamba huko serious na unachokitafuta hivyo hata ukimpata mmakuwa mwenye hulka ya ki Igbo basi utajibebea!
 
Afulu m gi na anya 🙂

Karibu sana Nigeria, lakini pesa nilimuazima Buhari katika uchaguzi.
 
Tupe urefu wako ili tukushauri kama uendelee na hako kampango kako au uachane nako kwa usalama wako.
 
Back
Top Bottom