Jitu jeusi
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 1,715
- 2,385
Huna boyfriend??Kesho nahitaj kwenda fiesta maana sijawahi nasikia huwa kuna fujo sana hivyo naogopa kwenda peke yangu.
Nahitaji rafiki atakayenilinda muda wote wakati wa fiesta kwa wale waliopo Dodoma tu malipo 50000.
Njoo pm tuma picha zako mbili sitaki maswali unasubir jibu basi.
Nimekutumia namba yangu, nipigie badae kwasasa bado nipo gym. hiyo pesa ya malipo nyingi sana punga iwe buku mbili tu mi sina shida.Kesho nahitaj kwenda fiesta maana sijawahi nasikia huwa kuna fujo sana hivyo naogopa kwenda peke yangu.
Nahitaji rafiki atakayenilinda muda wote wakati wa fiesta kwa wale waliopo Dodoma tu malipo 50000.
Njoo pm tuma picha zako mbili sitaki maswali unasubir jibu basi.
Baby hutaki kulindwa na DJ sepetu aka RamaphosaNdo unafaa kwa ulinzi
Ila baby umenikamata nakutongoza mwezi wa 6 huu ila unanikwepa tu.Nimekugeuka wapi jaman mbn hatukumalizia muamala wetu
Hii tayr ni ajira other benefits apart from salary IPO?Kesho nahitaj kwenda fiesta maana sijawahi nasikia huwa kuna fujo sana hivyo naogopa kwenda peke yangu.
Nahitaji rafiki atakayenilinda muda wote wakati wa fiesta kwa wale waliopo Dodoma tu malipo 50000.
Njoo pm tuma picha zako mbili sitaki maswali unasubir jibu basi.
Umejazia ktk eneo gani mkuuNjoo apa mjini barabara ya sita uone nilivyojazia