Nahitaji mwanaume wa kunioa, awe na nia ya dhati na mapenzi ya kweli

Natafuta jimama la kunilea maana nishachoka na maisha ya bongo
 
kama upo tayari kuishi visiwani, ni pm tafadhali!
 
Mkishapata muwe mnarudi JF kutuhabarisha kwamba mmeamaliza uliyempenda
 
jamani ulikuwa wapi siku zote nakusubiri njoo mmeo niko hapa mama!
 
watu wasipoangalia kwenye hizi ndoa wataoana na vibwengo..
pia kueni makini na watu mnaowekeana promise msiowafahamu kwenye mitandao..
wengine tumeshawazika..
 

Huyu mtu ana busara
Kila post yake niliyoiona INA akili
 
Ni haki yake ngoja aongee

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…