Nahitaji mwanaume wa kuzaa nae

Status
Not open for further replies.
Hiyo disability ikoje!?
Ya kihisia ama ya akili ama ya kiungo?
 
Kuwajibika kwa malezi ya mtoto ndo anachokitaka mtoa mada hayo ya kuolewa hayataki
Kuwajibika kumtunza mtoto nje ya ndoa, hiyo kitu hutokea kwa bahati mbaya ambapo mume labda ana mke au hamtaki mwanamke ndo husema basi nitamtunza mtoto. Sasa "jembe" unaona huyu "manzi" sio, alafu ujifunge kumzalisha ili utunze mtoto na mama yake huku "njemba wa nje" wakijisevia?? Hakuna kitu kama hicho!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…