Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
njoo tusogezeane muda aseeWapendwa habari zenu.
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 33, ni mwajiriwa wa sekta binafsi mkoani Rukwa. Mimi ni mkristo na Nina mtoto mmoja. Ninajitokeza kwenu nikiwa nahitaji mwanaume mwenye hitaji kama langu. Awe mkristo mwenye umri kuanzia miaka 33-49, mwenye kipato halali, awe na utayari wa kuwa na familia awe mkweli.
Ikiwa una uhitaji karibu PM
Vipi kama ana watoto?Wapendwa habari zenu.
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 33, ni mwajiriwa wa sekta binafsi mkoani Rukwa. Mimi ni mkristo na Nina mtoto mmoja. Ninajitokeza kwenu nikiwa nahitaji mwanaume mwenye hitaji kama langu. Awe mkristo mwenye umri kuanzia miaka 33-49, mwenye kipato halali, awe na utayari wa kuwa na familia awe mkweli.
Ikiwa una uhitaji karibu PM
Nahisi wewe ni FBI upo hapa for detecting menBado sijapata,mwenye uhitaji karibu sana sana PM
PM yako imekuwaje nashindwa kuja Ila nipo rukwa pia. Tunaweza kuongeaBado sijapata,mwenye uhitaji karibu sana sana PM
Kwani ni lazima kuwe na utani Lila sehemu mkuu?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Baba wa mtoto ni R.I.P au yupoWapendwa habari zenu.
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 33, ni mwajiriwa wa sekta binafsi mkoani Rukwa. Mimi ni mkristo na Nina mtoto mmoja. Ninajitokeza kwenu nikiwa nahitaji mwanaume mwenye hitaji kama langu. Awe mkristo mwenye umri kuanzia miaka 33-49, mwenye kipato halali, awe na utayari wa kuwa na familia awe mkweli.
Ikiwa una uhitaji karibu PM
Bado sijapata,Pm iko wazi wakuu
jibu swali kwanzaBaba wa mtoto ni R.I.P au yupo
Huko juu alisema kashakufa.. mka prove the grave tu mchukue jiko...jibu swali kwanza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dahNakuja pm, ila huku nilipo maisha yamenichapa kwahiyo tukikubaliana nahamia Rukwa moja kwa moja au unasemaje mamii?