Akili zangu hazipo sawa
Senior Member
- Apr 23, 2020
- 160
- 119
Kama kichwa kinavosema wakuu Nahitaji mtu anaweza akawekeza Kwenye hili wazo la biashara.WAZO LENYEWE LIPO HIVI๐๐๐๐๐๐๐
Lengo kubwa nikuwasaidia wauza migahawa kuendesha biashara zao hata kama hawana mtaji na lakini pia kutanua biashara zao.Ipo hivi mama ntilie anavoamka asubuhi atataka kununua mchele,unga wa ugali,unga wa ngano,mqfuta ya kula,maharage na sukari.Vipi ikitokea siku hana hata sh mia ya mtaji let's say labda matatizo yamejitokeza katumia mtaji wote na hivyo anashndwa kununua mahitaji ya mgahawani kwake.
Lengo la wazo la biashara hii ilikuwa ni kutatua changamoto hii lakini pia kuwasaidia kutanua biashara zao zaidi. Ipo hivi wazo lilikuwa linalenga kufungua biashara itakayokuwa inamuacha mama ntilie auze apate faida halafu ndo alipie bidhaa. Lakini pia kwakuwa biashara inalenga kuhudumia Namba kubwa ya wateja Mfano Dar es salaam pekee Kuna mama ntilie karibia 20 elfu kupata mtaji wa kutosha kuwahudumia idadi kubwa ya wateja inakuwa ngumu hivyo basi njia pekee nikaona nikushirikiana na wauza maduka mbali mbali wanqouza bidhaa hizo.
Sasa biashara inapataje faida?,Ipo hivi kwakuwa bidhaa tutakuwa tunaziuza kwa kuwakopesha bei ya bidhaa itakuwa juu kidgo let's say kwa sh 200 labda tofauti na bei ya dukani Mfano mama ntilie akaja kwetu akasema yeye Leo anataka unga kilo moja, mchele kilo moja ,sukari kilo moja,mqfuta lita moja na maharage kilo moja lakini sisi tunamuuzia kwa bei ya nenda katumie utulipe jioni ambayo tuseme inazidi 200 kwa kila bidhaa tofauti na bei ya dukani, mfano kwa bidhaa za hapo juu ambazo sisi tutakuwa tumechukua duka x ambalo tuna mkataba nalo kwa bei ya dukani tutakuwa na faida ya sh 1000 kwa bidhaa hizo tano juu apo kama fee ya kukopeshea itakuwa 200 kwa kila bidhaa.
Nimesema bidhaa sita hapo juu kwenye kichwa cha thread, Bidhaa zenyewe ni unga wa ngano, unga wa ugali,mchele,sukari,maharage na mqfuta ya kula kama bidhaa anzia kwa sababu karibu zote zinatumika mgahawani. Kwa Namna biashara itakavofanya kazi na namna tutakavoshirikiana na wauza maduka karibu pm wakuu.
NAKARIBISHA MAONI NA MAWAZO YA NAMNA TUNAWEZA LIWEKA HILI WAZO KITEKNOLOGIA ZAIDI
Lengo kubwa nikuwasaidia wauza migahawa kuendesha biashara zao hata kama hawana mtaji na lakini pia kutanua biashara zao.Ipo hivi mama ntilie anavoamka asubuhi atataka kununua mchele,unga wa ugali,unga wa ngano,mqfuta ya kula,maharage na sukari.Vipi ikitokea siku hana hata sh mia ya mtaji let's say labda matatizo yamejitokeza katumia mtaji wote na hivyo anashndwa kununua mahitaji ya mgahawani kwake.
Lengo la wazo la biashara hii ilikuwa ni kutatua changamoto hii lakini pia kuwasaidia kutanua biashara zao zaidi. Ipo hivi wazo lilikuwa linalenga kufungua biashara itakayokuwa inamuacha mama ntilie auze apate faida halafu ndo alipie bidhaa. Lakini pia kwakuwa biashara inalenga kuhudumia Namba kubwa ya wateja Mfano Dar es salaam pekee Kuna mama ntilie karibia 20 elfu kupata mtaji wa kutosha kuwahudumia idadi kubwa ya wateja inakuwa ngumu hivyo basi njia pekee nikaona nikushirikiana na wauza maduka mbali mbali wanqouza bidhaa hizo.
Sasa biashara inapataje faida?,Ipo hivi kwakuwa bidhaa tutakuwa tunaziuza kwa kuwakopesha bei ya bidhaa itakuwa juu kidgo let's say kwa sh 200 labda tofauti na bei ya dukani Mfano mama ntilie akaja kwetu akasema yeye Leo anataka unga kilo moja, mchele kilo moja ,sukari kilo moja,mqfuta lita moja na maharage kilo moja lakini sisi tunamuuzia kwa bei ya nenda katumie utulipe jioni ambayo tuseme inazidi 200 kwa kila bidhaa tofauti na bei ya dukani, mfano kwa bidhaa za hapo juu ambazo sisi tutakuwa tumechukua duka x ambalo tuna mkataba nalo kwa bei ya dukani tutakuwa na faida ya sh 1000 kwa bidhaa hizo tano juu apo kama fee ya kukopeshea itakuwa 200 kwa kila bidhaa.
Nimesema bidhaa sita hapo juu kwenye kichwa cha thread, Bidhaa zenyewe ni unga wa ngano, unga wa ugali,mchele,sukari,maharage na mqfuta ya kula kama bidhaa anzia kwa sababu karibu zote zinatumika mgahawani. Kwa Namna biashara itakavofanya kazi na namna tutakavoshirikiana na wauza maduka karibu pm wakuu.
NAKARIBISHA MAONI NA MAWAZO YA NAMNA TUNAWEZA LIWEKA HILI WAZO KITEKNOLOGIA ZAIDI