Nahitaji mwemyeji wa Morogoro anidadavulie kuhusu haya maeneo.

Nahitaji mwemyeji wa Morogoro anidadavulie kuhusu haya maeneo.

Kalaga Baho Nongwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2020
Posts
9,953
Reaction score
23,150
Wakuu kwema? Mm sijambo

Nilikuwa natafuta scientific reason ya kubadili mawazo yangu ya kupeleka biashara maeneo ya kusini na kuchagua eneo jipya la kupeleka biashara.

Mpango wa biashara ni kucheza na minada mbalimbali utakaoanza kutekelezwa mwanzon mwa mwezi wa kwanza. Ninafikiria kupeleka morogoro n maeneo yenye idadi kubwa ya watu ndio nimeyapendekeza kwenda kukomaa nayo.

Maeneo hayo ni pamoja na Mvomero, Kilosa na morogoro mjini.

Ninaomba wenyeji wa mazingira hayo tutete kidogo, tuendelee kusapotiana wazee hata kwa information tu mana hapa ndo nyumbani. Kuna watu tuna ndugu humu japo hatufanani nao majina
Screenshot_20241221_190721_Chrome.jpg
 
Namna CHADEMA establishment wanavyopambana na Lissu, CHADEMA sio siku nyingi ipo kwenye mserereko.

Lissu tu kutangaza kugombea uwenyekiti, imekuwa nongwa.

Kuna maneno kuwa mwenyekiti katikati ya kampeni 2020 alisema “Lissu anadhani atamshinda Magufuli “?……..

Anyway, kuna watu wanamtengenezea @SuluhuSamia ushindi bila kupora kura kama kawaida ya CCM.
 
Mvomero Wanafanya Mnada Jumamosi Pale Napita Sana Pilika Nyingi Sana Fika Ujaribu Maisha Chap Chap
 
Back
Top Bottom