Moja kumpata mtu wa makamo
yangu na kuwa asili watoto na pia kutengeza mkataba na kisheria na yule
bwana, coz watoto hao hawapaswi kuona tofauti kwa baba mpya atakaekuja,
lakini hawapaswi kumuita bamdogo wala anko, hiyo haitaleta heshima
mtaani, ili huyo mume mpya awajibike kwao haitakiwi kabisa mkono wa huyo
baba halisi, au kama vp ni heri watoto kuwapeleka kwa mama yako kama
yupo. hii itasidia mahusiano yako yadumu, ukiolewa na mtu mwema huwez
pata ukimwi ila kibinadamu ukiwa bado singo ndio utakuwa ktk hatari ya
kuambukizwa, kwan hata muathirika anaweza akakurubuni kwa ajili ya hamu
za kimwili ukajikuta umempa.