Yameisha Binamu. π π π Unialike tu ukiwa waongeza jiko.Hahahaha unaaribu uzi wa watu.. π€£π€£
Litakuwa jiko la gesiπππuje kuwasaidia kubandika wali na maharage... HahahaYameisha Binamu. π π π Unialike tu ukiwa waongeza jiko.
mwaaahπππ[emoji7][emoji7] thank you babe, nyonga mkalia ini langu[emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ningeshangaa uzi huu nisikukute[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wapo sheikh!
Believe me wapo
π€£π€£π€£Litakuwa jiko la gesiπππuje kuwasaidia kubandika wali na maharage... Hahaha
[emoji23] [emoji23] Vasco da Gama co poahWe sema unataka uwe huru na kazi zako, unataka mwanaume atakaekua tayari kuvumilia safar za vasco da gama ndani ya ndoa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Inaonekana wazi huna iman na baby wko kwnn unajitesa sasaMungu saidia babe wangu asiuone huu uzi aisee, mambo ya uke wenza tena duh, dada hizo safari ndyo zinakufanya usiwe na wivu hata kidogo,vipi na wewe ukiwa huko safarini sasa utakua salama pia?,ila kila rakheri.
Kila la kheriAssalaam Alaykum!
Mm ni mwanamke wa Kiislam umri
(30),Sijawahi Kuolewa na wala sina mtoto
Nahitaji Mume Mwenye Sifa hizi:-
Awe Muislam,
Awe yuko ndani ya Ndoa tayari,
Umri kuanzia 35-50,
Awe anajiweza mwenye kipato,
Nahitaji Mume sharti awe ameshaoa nahitaji (UKEWENZA) niwe mke wa pili, watatu na wa nne kikubwa awe Muislam,Mwenye hofu ya ALLAH SWT na-Muadilifu,
N.B NAOMBA KUTILIA UZITO lazma awe ameshaoa kwasababu ya nature ya kazi yangu Safari za hapa na pale ivyo akiwa hajaoa ntamueka kwenye hatari kubwa ya UCHAFU-ZINAA kwa kuogopa dhima hiyo mbele ya ALLAH SWT ntakapokua safarini najua atakua salama katika zamu za WAKEWENZA wenzangu,
Alie serious na Mwenye sifa hizo tafadhali naomba aje (in-box),
Wabillah Tawfiq!