Binamu usingepita hapa ningeandamana. πMwenyezi Mungu akupe hitaji la moyo.. INSHALLAH.
Karibu dada njoo inboxAssalaam Alaykum!
Mm ni mwanamke wa Kiislam umri
(30),Sijawahi Kuolewa na wala sina mtoto
Nahitaji Mume Mwenye Sifa hizi:-
Awe Muislam,
Awe yuko ndani ya Ndoa tayari,
Umri kuanzia 35-50,
Awe anajiweza mwenye kipato,
Nahitaji Mume sharti awe ameshaoa nahitaji (UKEWENZA) niwe mke wa pili, watatu na wa nne kikubwa awe Muislam,Mwenye hofu ya ALLAH SWT na-Muadilifu,
N.B NAOMBA KUTILIA UZITO lazma awe ameshaoa kwasababu ya nature ya kazi yangu Safari za hapa na pale ivyo akiwa hajaoa ntamueka kwenye hatari kubwa ya UCHAFU-ZINAA kwa kuogopa dhima hiyo mbele ya ALLAH SWT ntakapokua safarini najua atakua salama katika zamu za WAKEWENZA wenzangu,
Alie serious na Mwenye sifa hizo tafadhali naomba aje (in-box),
Wabillah Tawfiq!
Mi thio muhuni jamani.
Wa alykum salamAssalaam Alaykum!
Mm ni mwanamke wa Kiislam umri
(30),Sijawahi Kuolewa na wala sina mtoto
Nahitaji Mume Mwenye Sifa hizi:-
Awe Muislam,
Awe yuko ndani ya Ndoa tayari,
Umri kuanzia 35-50,
Awe anajiweza mwenye kipato,
Nahitaji Mume sharti awe ameshaoa nahitaji (UKEWENZA) niwe mke wa pili, watatu na wa nne kikubwa awe Muislam,Mwenye hofu ya ALLAH SWT na-Muadilifu,
N.B NAOMBA KUTILIA UZITO lazma awe ameshaoa kwasababu ya nature ya kazi yangu Safari za hapa na pale ivyo akiwa hajaoa ntamueka kwenye hatari kubwa ya UCHAFU-ZINAA kwa kuogopa dhima hiyo mbele ya ALLAH SWT ntakapokua safarini najua atakua salama katika zamu za WAKEWENZA wenzangu,
Alie serious na Mwenye sifa hizo tafadhali naomba aje (in-box),
Wabillah Tawfiq!
Daaah acha kabisa mkuu!.Masha'Allah! Mpo wapi kama nyie!
Sasa hao waliopo single na wana umri mkubwa watakuwa na matatizo yaoIla cha ajabu kuna wanaume wapo single yaani hawana hata wa kuegesha, huku kuna wanawake wanamiliki wanaume zaidi ya wawili. Wanataka hadi kutoana roho.
Hahaaa, umejitetea hadi nimekuhurumia, nimekusamehe babe eeh.[emoji7]Mi thio muhuni jamani.
HahahahaahahahahahahaSheikh unatafuta balaaa! Hawa kwa wengine?!
Miongoni mwa rafiki yangu alinisimulia miongoni mwa misikiti ya mji wa Madina muitikio wa waumini kwa swala ya asubuhi ulikuwa mdogo. Imam wa huo msikiti akatangaza kuwa mke wako asipokuamsha kuja kuswali swala ya subhi ongeza mke mwengine.
Kesho yake watu nyomi msikitini swala ya asubuhi.
Athante my love...πππ Nakupenda mhasibu wangu!Hahaaa, umejitetea hadi nimekuhurumia, nimekusamehe babe eeh.[emoji7]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji7][emoji7] thank you babe, nyonga mkalia ini langu[emoji12]Athante my love...[emoji7][emoji7][emoji7] Nakupenda mhasibu wangu!
Unataka awe wapi unampangia cha kufanyaWw jiulize mke wa mtu usiku huu kwenye nyuzi huku kafata nn asohudumia ndoa yake ohhhh hivi kasema wapo wangapi tena #zamu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Wallah nitakujibu pembeni Hahaha...Binamu usingepita hapa ningeandamana. π
Tunawaelewa vyema sana watu wenye Imani zenu hivyo nilipoona huu uzi tu nkajisemea hata ukae wiki Binamu lazima akanyage. π π πWallah nitakujibu pembeni Hahaha...
Bina wewe mkorofi..
Bina hilo kofi wacha niugulie pembeni watu wasioneπππTunawaelewa vyema sana watu wenye Imani zenu hivyo nilipoona huu uzi tu nkajisemea hata ukae wiki Binamu lazima akanyage. π π π
π π π π Pole binamu.Bina hilo kofi wacha niugulie pembeni watu wasioneπππ
Sitakiπ¬ππ¬π€€HahHHπ π π π Pole binamu.
Wenyewe mwaita Mathna.Sitakiπ¬ππ¬π€€HahHH
Hahahaha unaaribu uzi wa watu.. π€£π€£Wenyewe mwaita Mathna.
Sema unatafuta cheti cha ndoaAssalaam Alaykum!
Mm ni mwanamke wa Kiislam umri
(30),Sijawahi Kuolewa na wala sina mtoto
Nahitaji Mume Mwenye Sifa hizi:-
Awe Muislam,
Awe yuko ndani ya Ndoa tayari,
Umri kuanzia 35-50,
Awe anajiweza mwenye kipato,
Nahitaji Mume sharti awe ameshaoa nahitaji (UKEWENZA) niwe mke wa pili, watatu na wa nne kikubwa awe Muislam,Mwenye hofu ya ALLAH SWT na-Muadilifu,
N.B NAOMBA KUTILIA UZITO lazma awe ameshaoa kwasababu ya nature ya kazi yangu Safari za hapa na pale ivyo akiwa hajaoa ntamueka kwenye hatari kubwa ya UCHAFU-ZINAA kwa kuogopa dhima hiyo mbele ya ALLAH SWT ntakapokua safarini najua atakua salama katika zamu za WAKEWENZA wenzangu,
Alie serious na Mwenye sifa hizo tafadhali naomba aje (in-box),
Wabillah Tawfiq!