Nahitaji ndoa ya uke wenza

Nahitaji ndoa ya uke wenza

Assalaam Alaykum!
Mm ni mwanamke wa Kiislam umri
(30),Sijawahi Kuolewa na wala sina mtoto

Nahitaji Mume Mwenye Sifa hizi:-
Awe Muislam,
Awe yuko ndani ya Ndoa tayari,
Umri kuanzia 35-50,
Awe anajiweza mwenye kipato,
Nahitaji Mume sharti awe ameshaoa nahitaji (UKEWENZA) niwe mke wa pili, watatu na wa nne kikubwa awe Muislam,Mwenye hofu ya ALLAH SWT na-Muadilifu,

N.B NAOMBA KUTILIA UZITO lazma awe ameshaoa kwasababu ya nature ya kazi yangu Safari za hapa na pale ivyo akiwa hajaoa ntamueka kwenye hatari kubwa ya UCHAFU-ZINAA kwa kuogopa dhima hiyo mbele ya ALLAH SWT ntakapokua safarini najua atakua salama katika zamu za WAKEWENZA wenzangu,

Alie serious na Mwenye sifa hizo tafadhali naomba aje (in-box),

Wabillah Tawfiq!


Mwenyezi Mungu akujaalie haja ya moyo wako insha'alah.
 
Usiwe m'binafsi hutaki ukewenza Wanawake wengi huko mtaan hawana Ndoa, na wanahitaji stara, kuliko Mume akazini huko nje na kuongeza list ya vimada si bora aoe tu apate thawabu na astiri Wanawake wenzetu,

Anaonekana ana hofu ya MUUMBA na anajilinda ndio maana ameogopa asije mtia dhima huyo atakaekua mume wake ndio maana ametaka hivi,nimemuelewa sana huyu dada

Mm ni mke wa kwanza Bahati mbaya Mume wangu ana wake wanne tayari ila MWENYEZI MUNGU atakupatia Mume mwema dear

Nimekuelewa sana tu dear, ila uke wenza hapana acha tu niwe mbinafsi katika hili, na hii kwamba wanawake hawana ndoa sababu ya uchache wa wanaume mmh, tunaona daily wakaka mitaani hata on social networks wanavotafuta wachumba, sasa si wangekua tayari wameshawahiwa huko. Mi naamini kila mtu ana waubavu wake bana.

Hongera kwa moyo huo hadi wake wenza 4?, kwahiyo kuna zamu, unajua tu mume wangu yuko kwa bimdogo zamu yake aarh hapanaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dada mbona umeushupalia uzi kama wa kwako vile, ukisema una hofu ya Mungu tunategemea utakuwa na matendo ya ki-Mungu ikiwemo kujiepusha na zinaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ww jiulize mke wa mtu usiku huu kwenye nyuzi huku kafata nn asohudumia ndoa yake ohhhh hivi kasema wapo wangapi tena #zamu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimependa kimoja tu...una hofu na Mungu

MTU mmoja alinambia wanawake wa kiislam , ni waaminifi mnoo

Nahii NI sababu ya mkazo mzito unaopatikana ktk.malezi yao.


Huku kwetu, Dhambi inatengenezewa mazingira ya kuonekana ni nyepesi nyepesi nakitu cha kawaida.


Utapata hitaji lako mkuu
 
Muda ushatimia,

Vitabu vitakatifu vilishasema itafika mahali wanawake watatuomba tu hata waitwe majina yetu ili kuwasitiri.

Sasa hivi ndoa inaombwa na wanawake wenyewe wakati zamani waliringa na kuhitaji 6 pack,mrefu,maji ya kunde,mwenye gari kali na nyumba.

Ngoja muda uzidi kusogea tu tutaelewana tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Muda unakimbia sana Joooh
 
Nimependa kimoja tu...una hofu na Mungu

MTU mmoja alinambia wanawake wa kiislam , ni waaminifi mnoo

Nahii NI sababu ya mkazo mzito unaopatikana ktk.malezi yao.


Huku kwetu, Dhambi inatengenezewa mazingira ya kuonekana ni nyepesi nyepesi nakitu cha kawaida.


Utapata hitaji lako mkuu
Babe umefuata nini kwenye huu uzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom