Nahitaji ndoa ya uke wenza

Nahitaji ndoa ya uke wenza

Mungu saidia babe wangu asiuone huu uzi aisee, mambo ya uke wenza tena duh, dada hizo safari ndyo zinakufanya usiwe na wivu hata kidogo,vipi na wewe ukiwa huko safarini sasa utakua salama pia?,ila kila rakheri.
Hawajui wanaume...kuna mtu ana wake wanne ila kila siku macho juu juu kama konda wa daladala. Kaninyima fursa angekuwa mke wangu ila mimi mambo ya kuoa wanawake wawili siwezi kbs.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo kwa mumeo mko watano?

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kushadadia yasiyo kuhusu sio kila kitu kuchangia mengine usiyo na elimu nayo unayaacha yakupite, hiyo ni typing error kwa MUISLAM yoyote anaelewa hilo kwani ww hua ukosei? Naona kila sehem unacomment kwa kumdhihaki dada wa watu wala haipendezi kumnanga mwanamke mwenzio, Wanawake kwa Wanawake tunapokosea tunarekebishana nasio kushikilia bango alipokosea mwenzio. Isife mahali tubadilike

Halihitaji degree kujua kua amechapia alimaanisha kawapokea wake wenza wenzie watatu nayeye jumla wako wanne Kama QUR AN ilivyosema sasa unashabikia nn.
Kwa Muislam yoyote anajua kua alighafirika na kufanya typing error.
 
Msipindue QUR AN kwa kufanya shere MWENYEZI MUNGU anatosha na anajua kua huyu dada alighafirika na kufanya typing error ila kwa MUISLAM Mwenye kujitambua anajua kabisa alimaanisha kua kapokea wake wenzie watatu nayeye jumla wako wanne. Lakin mmemshabikia mtadhani nyie hamjawahi kukosea. Mkamilifu Ni MWENYEZI MUNGU pekee badilikeni wala haipendezi
Khantwe
Nima Imma
Ww chekaa mwenzio kasema keshapokea wenzie wanne inamaana jumla wapo 5 lazima apagawe [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Iii
 
Wamevuka hadi ile ya mtume, wake 4 total [emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni kumdhihaki dada wa watu jamani mbona mnatafsiri bila kujiongeza mnapaswa kua Positive ili ata katika fikra zenu muweze kufikiri in a positive way ni wazi kabisa alimaanisha kua kapokea wake wenzie watatu nayeye jumla wako wanne Kama QUR AN ilivyosema me mbona nimemuelewa vizuri.
Badilikeni wala haipendezi
 
Assalaam Alaykum!
Mm ni mwanamke wa Kiislam umri
(30),Sijawahi Kuolewa na wala sina mtoto

Nahitaji Mume Mwenye Sifa hizi:-
Awe Muislam,
Awe yuko ndani ya Ndoa tayari,
Umri kuanzia 35-50,
Awe anajiweza mwenye kipato,
Nahitaji Mume sharti awe ameshaoa nahitaji (UKEWENZA) niwe mke wa pili, watatu na wa nne kikubwa awe Muislam,Mwenye hofu ya ALLAH SWT na-Muadilifu,

N.B NAOMBA KUTILIA UZITO lazma awe ameshaoa kwasababu ya nature ya kazi yangu Safari za hapa na pale ivyo akiwa hajaoa ntamueka kwenye hatari kubwa ya UCHAFU-ZINAA kwa kuogopa dhima hiyo mbele ya ALLAH SWT ntakapokua safarini najua atakua salama katika zamu za WAKEWENZA wenzangu,

Alie serious na Mwenye sifa hizo tafadhali naomba aje (in-box),

Wabillah Tawfiq!
Ma Shaa Allah!
Nimekuelewa Sana, katika Dunia ya sasa Wanawake kama nyinyi mko wachache Sana yaan hadi raha kweli hof ya MWENYEZI MUNGU ikiwepo mambo hua ni mepesi Sana, nakuombea kwa
MWENYEZI MUNGU akufanyie wepesi mpenz, utampata Mume Mwenye Sifa hizo!
 
Kila la kheri dada, mola atakupa mume bora atakaetimiza viegezo vyako, usivunjike moyo na majibu ya kukatisha tamaa.

Je kama utapata mtu alietayari kukubaliana na safari zako na hajaoa, upo tayari?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni kumdhihaki dada wa watu jamani mbona mnatafsiri bila kujiongeza mnapaswa kua Positive ili ata katika fikra zenu muweze kufikiri in a positive way ni wazi kabisa alimaanisha kua kapokea wake wenzie watatu nayeye jumla wako wanne Kama QUR AN ilivyosema me mbona nimemuelewa vizuri.
Badilikeni wala haipendezi
Sawa positive Lady,wa kujiongeza. Mchana mwemaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ma Shaa Allah!
Nimekuelewa Sana, katika Dunia ya sasa Wanawake kama nyinyi mko wachache Sana yaan hadi raha kweli hof ya MWENYEZI MUNGU ikiwepo mambo hua ni mepesi Sana, nakuombea kwa
MWENYEZI MUNGU akufanyie wepesi mpenz, utampata Mume Mwenye Sifa hizo!
Mkuu, naomba unishauri jambo moja hapa.
Mimi kama nataka kubadili dini, ili nimpate huyu mashallah awe mke wa tatu, je inawezekana??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom