Nahitaji ndoa ya uke wenza

Nahitaji ndoa ya uke wenza

Alaa, kuumbee! Mwataka jua habari za kila mmoja, kuanzia yeye mwenyewe, watoto wake, wazazi wake, marafiki/mashosti zake, majirani zake kama kina Mzee Mabruki, wote aliosoma nao kuanzia chekechea hadi chuo! Hahahaaa ndio maana basi mambo hayeshi, ushanipa siri ya kambi sasa Shadeeya😀😂😀🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
Hahahaaaaa. Lol
 
Acha kushadadia yasiyo kuhusu sio kila kitu kuchangia mengine usiyo na elimu nayo unayaacha yakupite, hiyo ni typing error kwa MUISLAM yoyote anaelewa hilo kwani ww hua ukosei? Naona kila sehem unacomment kwa kumdhihaki dada wa watu wala haipendezi kumnanga mwanamke mwenzio, Wanawake kwa Wanawake tunapokosea tunarekebishana nasio kushikilia bango alipokosea mwenzio. Isife mahali tubadilike

Halihitaji degree kujua kua amechapia alimaanisha kawapokea wake wenza wenzie watatu nayeye jumla wako wanne Kama QUR AN ilivyosema sasa unashabikia nn.
Kwa Muislam yoyote anajua kua alighafirika na kufanya typing error.
Khaa huu uzi nilikuwa sijafika kumbe nimetolewa povu namna hii?? Pole sana vitu vidogo hivi vinakupanikisha namna hii lazima una tatizo kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume ni lulu katika hii dunia...ata kama kila mwanaume ataamua kuoa 10 bado wanawake watabaki
Ila cha ajabu kuna wanaume wapo single yaani hawana hata wa kuegesha, huku kuna wanawake wanamiliki wanaume zaidi ya wawili. Wanataka hadi kutoana roho.
 
Msipindue QUR AN kwa kufanya shere MWENYEZI MUNGU anatosha na anajua kua huyu dada alighafirika na kufanya typing error ila kwa MUISLAM Mwenye kujitambua anajua kabisa alimaanisha kua kapokea wake wenzie watatu nayeye jumla wako wanne. Lakin mmemshabikia mtadhani nyie hamjawahi kukosea. Mkamilifu Ni MWENYEZI MUNGU pekee badilikeni wala haipendezi
Khantwe
Nima Imma
Iii
Sasa mkisema typing error tu mnapungukiwa nini kwani lazima mmwage povu? Mimi nilifikiri kuwa kuna circumstances ambazo huwa zinamruhusu mtu kuwa na zaidi ya wanne maana kuna sehemu pia niliwahi kusoma kuwa mtume alioa watano japo sina hakika nilitaka nipate uhakika. Poleni sana kama mmeguswa vile ambavyo sikumaanisha mimi maana si kwa mapovu haya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mkisema typing error tu mnapungukiwa nini kwani lazima mmwage povu? Mimi nilifikiri kuwa kuna circumstances ambazo huwa zinamruhusu mtu kuwa na zaidi ya wanne maana kuna sehemu pia niliwahi kusoma kuwa mtume alioa watano japo sina hakika nilitaka nipate uhakika. Poleni sana kama mmeguswa vile ambavyo sikumaanisha mimi maana si kwa mapovu haya

Sent using Jamii Forums mobile app
Amesema "Mimi ni mke wa kwanza na nimekaribisha wenzangu wanne".
Upo sahihi kusema wapo watano na yeye ndio anatakiwa aombe samahani kwa kuchapia na sio wewe.
Hapo mtoa mada na hizo ID mbili zinazopiga upatu ni mtu mmoja. Haiwezekani wote watokee 2016 hawajacoment kitu waje wacoment kwenye huu Uzi na kusepa.
 
Amesema "Mimi ni mke wa kwanza na nimekaribisha wenzangu wanne".
Upo sahihi kusema wapo watano na yeye ndio anatakiwa aombe samahani kwa kuchapia na sio wewe.
Hapo mtoa mada na hizo ID mbili zinazopiga upatu ni mtu mmoja. Haiwezekani wote watokee 2016 hawajacoment kitu waje wacoment kwenye huu Uzi na kusepa.
Hebu nisaidie ndugu yangu,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaaaa. Huwa hayaishi tamu mazungumzo yaani si ajabu basi hapo mkianza enhee wamjua mtoto wa mzee fulani hivi bado yupo pale akianza kuhadithia basi utauliza yuko wapi? Mama yake je? Na Mkaza fulani naye bado yupo pale pale?😅😅 basi tafrani.

Ila tumejizoelea wenyewe hatuoni shida.
Mdigo wewe bhana. Mkaza fulani sio??
 
Daah! Hapo ni pazito Kaka. Najua mtasema imani zetu sio thabit lakini katika hili mmmh.

ukhuty.
Hahahahaahahaha

Hapana hata sitosema hivyo, hili ni Zito kwa kila mwanamke amini nikwambialo, ila ni level ya juu sana ya uchamungu kwa wale wanawake wanaolikubi kwa kutaka radhi za mola wao. I hope hiyo statement yangu ya mwisho umeielewa
 
Assalaam Alaykum!
Mm ni mwanamke wa Kiislam umri
(30),Sijawahi Kuolewa na wala sina mtoto

Nahitaji Mume Mwenye Sifa hizi:-
Awe Muislam,
Awe yuko ndani ya Ndoa tayari,
Umri kuanzia 35-50,
Awe anajiweza mwenye kipato,
Nahitaji Mume sharti awe ameshaoa nahitaji (UKEWENZA) niwe mke wa pili, watatu na wa nne kikubwa awe Muislam,Mwenye hofu ya ALLAH SWT na-Muadilifu,

N.B NAOMBA KUTILIA UZITO lazma awe ameshaoa kwasababu ya nature ya kazi yangu Safari za hapa na pale ivyo akiwa hajaoa ntamueka kwenye hatari kubwa ya UCHAFU-ZINAA kwa kuogopa dhima hiyo mbele ya ALLAH SWT ntakapokua safarini najua atakua salama katika zamu za WAKEWENZA wenzangu,

Alie serious na Mwenye sifa hizo tafadhali naomba aje (in-box),

Wabillah Tawfiq!
Hii bahati imenipita wapi aisee.

Bibie bado una uhitaji ?
 
Back
Top Bottom