Nahitaji ndoa ya uke wenza

Nahitaji ndoa ya uke wenza

Hahahahaahahaha

Hapana hata sitosema hivyo, hili ni Zito kwa kila mwanamke amini nikwambialo, ila ni level ya juu sana ya uchamungu kwa wale wanawake wanaolikubi kwa kutaka radhi za mola wao. I hope hiyo statement yangu ya mwisho umeielewa
Yes! Nimeielewa sana Kaka japo nadhani hao uwasemao wengi wao walikuwepo zile enzi za Mtume ila kwa sasa ni wa kuhesabu na wengi wanakuwa waigizaji na ndio sababu ni wake wachache wa mume mmoja wenye kuelewana na kuwa kitu kimoja yaani uke wenza umegeuka kuwa mwanzo wa wanawake kuwa maadui.
 
Yes! Nimeielewa sana Kaka japo nadhani hao uwasemao wengi wao walikuwepo zile enzi za Mtume ila kwa sasa ni wa kuhesabu na wengi wanakuwa waigizaji na ndio sababu ni wake wachache wa mume mmoja wenye kuelewana na kuwa kitu kimoja yaani uke wenza umegeuka mwanzo wa wanawake kuwa maadui.
True

Umesema kweli kabisa.
 
Assalaam Alaykum!
Mm ni mwanamke wa Kiislam umri
(30),Sijawahi Kuolewa na wala sina mtoto

Nahitaji Mume Mwenye Sifa hizi:-
Awe Muislam,
Awe yuko ndani ya Ndoa tayari,
Umri kuanzia 35-50,
Awe anajiweza mwenye kipato,
Nahitaji Mume sharti awe ameshaoa nahitaji (UKEWENZA) niwe mke wa pili, watatu na wa nne kikubwa awe Muislam,Mwenye hofu ya ALLAH SWT na-Muadilifu,

N.B NAOMBA KUTILIA UZITO lazma awe ameshaoa kwasababu ya nature ya kazi yangu Safari za hapa na pale ivyo akiwa hajaoa ntamueka kwenye hatari kubwa ya UCHAFU-ZINAA kwa kuogopa dhima hiyo mbele ya ALLAH SWT ntakapokua safarini najua atakua salama katika zamu za WAKEWENZA wenzangu,

Alie serious na Mwenye sifa hizo tafadhali naomba aje (in-box),

Wabillah Tawfiq!

Ukhti ukisafiri wewe vp hamna wasiwasi huko uendako?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Assalaam Alaykum!
Mm ni mwanamke wa Kiislam umri
(30),Sijawahi Kuolewa na wala sina mtoto

Nahitaji Mume Mwenye Sifa hizi:-
Awe Muislam,
Awe yuko ndani ya Ndoa tayari,
Umri kuanzia 35-50,
Awe anajiweza mwenye kipato,
Nahitaji Mume sharti awe ameshaoa nahitaji (UKEWENZA) niwe mke wa pili, watatu na wa nne kikubwa awe Muislam,Mwenye hofu ya ALLAH SWT na-Muadilifu,

N.B NAOMBA KUTILIA UZITO lazma awe ameshaoa kwasababu ya nature ya kazi yangu Safari za hapa na pale ivyo akiwa hajaoa ntamueka kwenye hatari kubwa ya UCHAFU-ZINAA kwa kuogopa dhima hiyo mbele ya ALLAH SWT ntakapokua safarini najua atakua salama katika zamu za WAKEWENZA wenzangu,

Alie serious na Mwenye sifa hizo tafadhali naomba aje (in-box),

Wabillah Tawfiq!
Kafala
 
aiseee huu uzi ume nifanya nigundue kitu
kuna mapovu ya kleeesoft nime ona apo juu na nime jidhiirisha 100% ID mbili zina milikiwa na mtu1 ka fanya attack na ID ya kwanza kisha kapiga counter attack na ID ya pili aisee hii ndo JF bhanaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu saidia babe wangu asiuone huu uzi aisee, mambo ya uke wenza tena duh, dada hizo safari ndyo zinakufanya usiwe na wivu hata kidogo,vipi na wewe ukiwa huko safarini sasa utakua salama pia?,ila kila rakheri.
Nimeshaona mama, wacha nizame Piemu nikamsabahi..Kama unavyojua mwislamu ndugu yake muislamu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
aiseee huu uzi ume nifanya nigundue kitu
kuna mapovu ya kleeesoft nime ona apo juu na nime jidhiirisha 100% ID mbili zina milikiwa na mtu1 ka fanya attack na ID ya kwanza kisha kapiga counter attack na ID ya pili aisee hii ndo JF bhanaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi Mkuu nilidhania nimeliona hilo peke yangu. πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Back
Top Bottom