Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hahahaaaa!!! Ndio Kaka ππ na bara ndio huwa wanashangaa ukisema Mkaza Mjomba wakati kwetu kule ni kawaida kabisa.Mdigo wewe bhana. Mkaza fulani sio??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa!!! Ndio Kaka ππ na bara ndio huwa wanashangaa ukisema Mkaza Mjomba wakati kwetu kule ni kawaida kabisa.Mdigo wewe bhana. Mkaza fulani sio??
Yes! Nimeielewa sana Kaka japo nadhani hao uwasemao wengi wao walikuwepo zile enzi za Mtume ila kwa sasa ni wa kuhesabu na wengi wanakuwa waigizaji na ndio sababu ni wake wachache wa mume mmoja wenye kuelewana na kuwa kitu kimoja yaani uke wenza umegeuka kuwa mwanzo wa wanawake kuwa maadui.Hahahahaahahaha
Hapana hata sitosema hivyo, hili ni Zito kwa kila mwanamke amini nikwambialo, ila ni level ya juu sana ya uchamungu kwa wale wanawake wanaolikubi kwa kutaka radhi za mola wao. I hope hiyo statement yangu ya mwisho umeielewa
Ahhhh bara hawana wajualoHahahaaaa!!! Ndio Kaka ππ na bara ndio huwa wanashangaa ukisema Mkaza Mjomba wakati kwetu kule ni kawaida kabisa.
TrueYes! Nimeielewa sana Kaka japo nadhani hao uwasemao wengi wao walikuwepo zile enzi za Mtume ila kwa sasa ni wa kuhesabu na wengi wanakuwa waigizaji na ndio sababu ni wake wachache wa mume mmoja wenye kuelewana na kuwa kitu kimoja yaani uke wenza umegeuka mwanzo wa wanawake kuwa maadui.
Assalaam Alaykum!
Mm ni mwanamke wa Kiislam umri
(30),Sijawahi Kuolewa na wala sina mtoto
Nahitaji Mume Mwenye Sifa hizi:-
Awe Muislam,
Awe yuko ndani ya Ndoa tayari,
Umri kuanzia 35-50,
Awe anajiweza mwenye kipato,
Nahitaji Mume sharti awe ameshaoa nahitaji (UKEWENZA) niwe mke wa pili, watatu na wa nne kikubwa awe Muislam,Mwenye hofu ya ALLAH SWT na-Muadilifu,
N.B NAOMBA KUTILIA UZITO lazma awe ameshaoa kwasababu ya nature ya kazi yangu Safari za hapa na pale ivyo akiwa hajaoa ntamueka kwenye hatari kubwa ya UCHAFU-ZINAA kwa kuogopa dhima hiyo mbele ya ALLAH SWT ntakapokua safarini najua atakua salama katika zamu za WAKEWENZA wenzangu,
Alie serious na Mwenye sifa hizo tafadhali naomba aje (in-box),
Wabillah Tawfiq!
KafalaAssalaam Alaykum!
Mm ni mwanamke wa Kiislam umri
(30),Sijawahi Kuolewa na wala sina mtoto
Nahitaji Mume Mwenye Sifa hizi:-
Awe Muislam,
Awe yuko ndani ya Ndoa tayari,
Umri kuanzia 35-50,
Awe anajiweza mwenye kipato,
Nahitaji Mume sharti awe ameshaoa nahitaji (UKEWENZA) niwe mke wa pili, watatu na wa nne kikubwa awe Muislam,Mwenye hofu ya ALLAH SWT na-Muadilifu,
N.B NAOMBA KUTILIA UZITO lazma awe ameshaoa kwasababu ya nature ya kazi yangu Safari za hapa na pale ivyo akiwa hajaoa ntamueka kwenye hatari kubwa ya UCHAFU-ZINAA kwa kuogopa dhima hiyo mbele ya ALLAH SWT ntakapokua safarini najua atakua salama katika zamu za WAKEWENZA wenzangu,
Alie serious na Mwenye sifa hizo tafadhali naomba aje (in-box),
Wabillah Tawfiq!
Ahahahaaaaaa...! Mgonjwa wa chura kama kawaidaChura ndani ya baibui ipo?
Nimeshaona mama, wacha nizame Piemu nikamsabahi..Kama unavyojua mwislamu ndugu yake muislamu πππMungu saidia babe wangu asiuone huu uzi aisee, mambo ya uke wenza tena duh, dada hizo safari ndyo zinakufanya usiwe na wivu hata kidogo,vipi na wewe ukiwa huko safarini sasa utakua salama pia?,ila kila rakheri.
Eti eeh π
Basi Mkuu nilidhania nimeliona hilo peke yangu. π π πaiseee huu uzi ume nifanya nigundue kitu
kuna mapovu ya kleeesoft nime ona apo juu na nime jidhiirisha 100% ID mbili zina milikiwa na mtu1 ka fanya attack na ID ya kwanza kisha kapiga counter attack na ID ya pili aisee hii ndo JF bhanaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yabidi nikufate job chap nije nikutwikeHebu nitwike mie we upumzike nayo. Teh teh teh.
Raha ya umbea tukae jamvini nihabarishe dadaBasi Mkuu nilidhania nimeliona hilo peke yangu. π π π . Ile ID ya pili imekuja kukazia hoja iliyopo mezani.
Naongea na simu dada khaa hii messeg imefik huku kumbeMdogo wangu unaongea na simu ama? ππππππ